ugonjwa wa Surua tishio Guinea
Mashirika ya kimataifa yajizatiti kupambana na Surua nchini Guinea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3eseoj0sSpE7QHBTDZ4GURjx6Z1d9jf*YhEgT4bswd5RR6WT*q7JtIA6h0nJvCoFpKJORAvw8QlUQ2iGGPMoSg4/measles16.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SURUA-2
Vidonda hivi huitwa Koplik spots. Hii ni dalili tosha ya kuthibitisha uwepo wa surua.
Lakini vilevile mgonjwa anaweza kuwa na vipele vidogo sana ambavyo inaweza kukuwia vigumu kutambua. Vipele hivi huweza kuonekana vizuri siku mbili baadaye hasa sehemu za usoni au nyuma ya sikio na kushuka chini kabla ya kutapakaa mwili mzima. Vipele hivi hupotea baada ya siku saba na kuacha ngozi iliyobabuka. Hata hivyo, kukohoa kunaweza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XUO4_ojeSXM/VEetrQVFdSI/AAAAAAAGsqs/fKc04QwolTA/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
Chanjo ya ugonjwa wa surua na rubella Manispaa ya Ilala yavuka lengo
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUO4_ojeSXM/VEetrQVFdSI/AAAAAAAGsqs/fKc04QwolTA/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Manispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa wiki ya kutoa chanjo hiyo nchini.
Hayo yamesemwa na Mganga...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
TISHIO UGONJWA WA EBOLA
Kikosi kazi chaanza mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi
>Mpangilio mbovu wa lishe, kutokufanya mazoezi na wananchi kushindwa kujitokeza kupima afya mara kwa mara ni miongoni mwa sababu zinazochangia kuongezeka kwa wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s72-c/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA TISHIO LA UGONJWA WA KIPINDUPINDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s640/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aW8MPYPblFY/VkW182oExQI/AAAAAAAAWcA/0s0UbpndgXI/s640/IMG_8390%2B%25281024x683%2529.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea
Wanasayansi nchini Ufaransa wasema virusi vya Ugonjwa wa Ebola ndio chanzo cha ugonjwa wa homa ya Haemorajic nchini Guinea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
10 years ago
Michuzi21 Sep
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania