CCM wafanya vurugu mkutano wa CUF
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wafuasi wao wanadaiwa kuvamia eneo la mkutano uliokuwa umeandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF), eneo la Buguruni jijini Dar es Salaam kwa ajili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Apr
CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s72-c/MMGM4299.jpg)
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s1600/MMGM4299.jpg)
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
9 years ago
Mwananchi13 Sep
CUF Z’bar wadai CCM imevunja mkutano wao
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Waandamanaji wafanya vurugu Uturuki
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Waandamanaji wafanya vurugu St.Louis
10 years ago
Habarileo05 Nov
Wastaafu wafanya vurugu kushinikiza pensheni zao
WASTAAFU kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, walifanya vurugu katika ofisi ya Wizara ya Fedha (Hazina) juzi baada ya kutolipwa pensheni zao za Oktoba na kushinikiza wapatiwe stahiki zao kwa wakati.
11 years ago
Habarileo07 May
Wabeba mizigo wafanya vurugu kubwa Kibaigwa
WABEBA mizigo wa Soko Kuu la Mazao la Kibaigwa juzi wakiwa na vijana wanaokadiriwa 300 walifanya fujo kwa kufunga barabara kuu ya Dodoma – Morogoro kwa mawe na kuchoma matairi huku wakipiga mawe magari yaliyokuwa yakipita barabarani.
11 years ago
Habarileo26 Jun
CUF wafanya mageuzi makubwa
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.