CUF Z’bar wadai CCM imevunja mkutano wao
Chama cha Wananchi (CUF) kimedai wafuasi wa CCM walivuruga mkutano wa kampeni za mgombea wao wa urais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad uliofanyika juzi kwenye Viwanja vya Kwa-Binti Amrani, Wilaya ya Mjini Unguja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Chadema wadai kutostushwa na madiwani wao kutimkia CCM
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Njombe kimesema hakijashtushwa na taarifa za Madiwani wao watatu wa wilaya ya Makete kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi CCM kwa kuwa walishakuwa na taarifa za kuwa wamekuwa wakitishwa kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema kuwa licha ya madiwani hao kutotoa sababu hizo hadharani lakini kama chama kilishapata taarifa hizo kwa muda mrefu kwamba wamekuwa...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Tumejipanga kuiangusha CCM Z’bar- CUF
 Chama cha Wananchi CUF Zanzibar kimesema kwamba kimejipanga vizuri kwa Uchaguzi Mkuu ujao Oktoba mwaka 2015 kuliko chaguzi zote zilizofanyika visiwani Zanzibar tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 ili kuhakikisha inaing’oa CCM madarakani.
11 years ago
Vijimambo
CUF kuandamana kupinga diwani wao aliyehamia CCM

Chama cha Wananchi (CUF) wilaya ya Tanga kimesisitiza kufanya maandamano ya amani mwanzo mwa wiki hii ya kushinikiza aliyekuwa Diwani wa chama hicho Kata ya Marungu Mohamed Mambeya, ambaye amehamia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuacha kuhudhuria vikao vya Baraza la Madiwani kutokana na kupoteza sifa.
Kwa mujibu wa Katiba ya CUF kifungu cha 9(1) G ya mwaka 1992 toleo la 2003,”Mwanachama yeyote atasita kuwa mwanachama ikiwa atakuwa mwanachama wa chama kingine cha siasa.
Diwani wa Kata ya Mwanzange...
11 years ago
Tanzania Daima22 Sep
CCM wafanya vurugu mkutano wa CUF
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wafuasi wao wanadaiwa kuvamia eneo la mkutano uliokuwa umeandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF), eneo la Buguruni jijini Dar es Salaam kwa ajili...
10 years ago
Michuzi
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CUF wadai kuchezewa rafu marudio Uchaguzi Serikali za Mitaa
Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kufanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika maeneo ambayo uchaguzi huo uliahirishwa, Chama cha Wananchi (CUF) kimeibuka na kudai kuwa kuna mipango imepangwa kuhakikisha kuwa chama hicho hakipati ushindi.
10 years ago
Vijimambo09 Feb
10 years ago
Mwananchi09 May
CUF yajipanga majimbo 50 Z’bar
Zanzibar. CUF imetangaza majina ya wagombea waliopendekezwa kuwania ubunge na uwakilishi Zanzibar katika majimbo 50, likiwamo jina la kada wa CCM, Mohamed Hashim Ismail.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania