Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yajipanga majimbo 50 Z’bar

Zanzibar. CUF imetangaza majina ya wagombea waliopendekezwa kuwania ubunge na uwakilishi Zanzibar katika majimbo 50, likiwamo jina la kada wa CCM, Mohamed Hashim Ismail.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CUF kupinga matokeo ya ubunge majimbo sita

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Wananchi (CUF) kinatarajia kufungua kesi katika mahakama mbalimbali nchini kupinga matokeo ya majimbo sita katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari  Dar es Salaam jana, Ofisa wa Haki za Binadamu na Sheria wa CUF, Mohamed Mluya, aliyataja majimbo hayo kuwa ni   Lindi Mjini, Newala, Mtwara Vijijini, Pangani, Mbagala na Tabora Mjini ambayo uchaguzi wake uligubikwa na dosari mbalimbali.

Alisema...

 

10 years ago

Habarileo

CUF na Chadema Moro wavutana kuachiana majimbo

CHAMA cha Wananchi (CUF) katika wilaya ya Morogoro Vijijini kichama na Kilosa mkoa wa Morogoro, kimejikuta kikiingia kwenye mvutano mkubwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutokana na kushindwa kuachiana majimbo ya uchaguzi wa ubunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejipanga kuiangusha CCM Z’bar- CUF

 Chama cha Wananchi CUF Zanzibar kimesema kwamba kimejipanga vizuri kwa Uchaguzi Mkuu ujao Oktoba mwaka 2015 kuliko chaguzi zote zilizofanyika visiwani Zanzibar tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 ili kuhakikisha inaing’oa CCM madarakani.

 

10 years ago

TheCitizen

CUF: No need to conduct fresh polls in Z’bar

Civic United Front (CUF) has ruled out the possibility of conducting fresh elections in Zanzibar, insisting that the announcement to annul them should be re-called.

 

10 years ago

TheCitizen

CUF’s Sh5.5tr plan for Z’bar overhaul

The Civic United Front (CUF) launched its 2015 Election Manifesto here yesterday, detailing a 35 point plan to turnaround Zanzibar’s economic, social and political fortunes in five years should the party win the October polls.

 

10 years ago

Habarileo

CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR ulioanza wiki hii mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe. (Na Mpigapicha Wetu).CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.

 

9 years ago

TheCitizen

CUF youth: We’ll discuss Z’bar crisis

The Civic United Front (CUF)’s youth wing, Juvicuf, will hold an emergency meeting of its Governing Council at the end of this month to discuss the political crisis in Zanzibar which, according to them, has affected the economy by reducing the number of tourists visiting the Isles.

 

10 years ago

TheCitizen

CUF urges calm as Z’bar awaits results

The Civic United Front (CUF) yesterday urged its supporters and other Zanzibaris in general to remain calm, maintain the peace as they wait for presidential results.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani