CUF yajipanga majimbo 50 Z’bar
Zanzibar. CUF imetangaza majina ya wagombea waliopendekezwa kuwania ubunge na uwakilishi Zanzibar katika majimbo 50, likiwamo jina la kada wa CCM, Mohamed Hashim Ismail.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Nov
CUF kupinga matokeo ya ubunge majimbo sita
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kinatarajia kufungua kesi katika mahakama mbalimbali nchini kupinga matokeo ya majimbo sita katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa wa Haki za Binadamu na Sheria wa CUF, Mohamed Mluya, aliyataja majimbo hayo kuwa ni Lindi Mjini, Newala, Mtwara Vijijini, Pangani, Mbagala na Tabora Mjini ambayo uchaguzi wake uligubikwa na dosari mbalimbali.
Alisema...
10 years ago
Habarileo24 Aug
CUF na Chadema Moro wavutana kuachiana majimbo
CHAMA cha Wananchi (CUF) katika wilaya ya Morogoro Vijijini kichama na Kilosa mkoa wa Morogoro, kimejikuta kikiingia kwenye mvutano mkubwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutokana na kushindwa kuachiana majimbo ya uchaguzi wa ubunge.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Tumejipanga kuiangusha CCM Z’bar- CUF
10 years ago
TheCitizen30 Oct
CUF: No need to conduct fresh polls in Z’bar
10 years ago
TheCitizen21 Sep
CUF’s Sh5.5tr plan for Z’bar overhaul
10 years ago
Habarileo26 Feb
CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.
11 years ago
Mwananchi09 Mar
CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar
9 years ago
TheCitizen13 Dec
CUF youth: We’ll discuss Z’bar crisis
10 years ago
TheCitizen28 Oct
CUF urges calm as Z’bar awaits results