CUF na Chadema Moro wavutana kuachiana majimbo
CHAMA cha Wananchi (CUF) katika wilaya ya Morogoro Vijijini kichama na Kilosa mkoa wa Morogoro, kimejikuta kikiingia kwenye mvutano mkubwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutokana na kushindwa kuachiana majimbo ya uchaguzi wa ubunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema, CUF wavutana Musoma
9 years ago
StarTV10 Nov
Wanachama wa CUF wavutana Tanga Â
Wanachama zaidi ya mia moja wa chama cha wananchi CUF wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wametishia kujeresha kadi zao za chama na kujiunga na vyama vingine vya siasa..
Madai ya wanachama hao ni kutaka kurejeshwa kwa jina la aliyekuwa mbunge wa viti maalumu Amina Mwidau kwa kuwa ndiye aliyeshinda kwenye kura za maoni na kuliondoa jina na Saumu Sakala aliyeshika nafasi ya pili kwenye mchakato wa kura za maoni.
Wananchi wa chama cha wanchi CUF waliokuwa wakitishia kukihama chama hicho kufuatia...
10 years ago
Mtanzania01 Apr
CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Chadema na CCM wavutana Kalenga
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
10 years ago
Mwananchi09 May
CUF yajipanga majimbo 50 Z’bar
9 years ago
Vijimambo03 Oct
MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MAJIMBO 5 YA MOROGORO,HAKIKA MORO NI NGOME YA CCM
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143087_431153853753515_7192278714545686298_n.jpg?oh=2db006c15369b706e87f1192bb879ccd&oe=56D2789C)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12088253_431155910419976_5298678382071065635_n.jpg?oh=1bf59f7d6fe807368970ebcf1572e871&oe=56A0ECE4)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12115440_431155737086660_873873782742326174_n.jpg?oh=b04e5ad8a977e5389e002bd4cf4e457a&oe=56954BBE)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12141774_431153923753508_3468242875379938693_n.jpg?oh=57aaccd8c0013205fbd6f993848b4f84&oe=568E7511)