CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar
Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Nov
CUF yapinga rasmi ushindi wa CCM Mbagala
10 years ago
Habarileo29 Aug
Akaunti ya pamoja Bara, Z'bar hekaheka
MWENYEKITI wa Kamati Namba Moja, Ummy Mwalimu, amesema pamoja na Kamati yake kupitisha sura zote kwa kupata theluthi mbili kila upande, suala la akaunti ya pamoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar, hawakufanya uamuzi na lilikuwa na hekaheka kubwa.
10 years ago
Habarileo24 Mar
22.4% Tanzania bara na 15.8% Z’bar hawajui kusoma
KWA mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, takwimu zinaonesha kuwa watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea wasiojua kusoma na kuandika ni asilimia 22.4 Tanzania bara na asilimia 15.8 Zanzibar.
10 years ago
Habarileo28 Oct
‘Ardhi ya Zanzibar haijauzwa Bara’
WAZIRI wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ramadhan Abdalla Shaaban amesema Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi, ndiyo itakayotoa fursa kwa Zanzibar kuchimba mafuta na gesi, ambayo yameondolewa katika orodha ya mambo ya Muungano.
10 years ago
VijimamboWAZEE WA CHAMA CHA CUF KISIWANI PEMBA WATAKA KUPEWA ELIMU YA KUPIGA KURA
9 years ago
Habarileo25 Nov
‘Mazungumzo CUF, CCM hayazuii uchaguzi Z’bar’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) - Zanzibar kimesema mazungumzo yanayoendelea nchini yakiwahusisha viongozi wakuu wa kisiasa kamwe hayajazuia kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ambao matokeo yake yalifutwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
10 years ago
Mwananchi09 May
CUF yajipanga majimbo 50 Z’bar
9 years ago
StarTV23 Nov
Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum. Â
Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.
Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.
Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...
9 years ago
TheCitizen30 Oct
CUF: No need to conduct fresh polls in Z’bar