Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ardhi ya Zanzibar haijauzwa Bara’

WAZIRI wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ramadhan Abdalla Shaaban amesema Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi, ndiyo itakayotoa fursa kwa Zanzibar kuchimba mafuta na gesi, ambayo yameondolewa katika orodha ya mambo ya Muungano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uamuzi uliochukuliwa na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar wa kujadiliana na mjenzi wa Bara bara ya Koani hadi Jumbi ndio njia pekee itakayoweza kufanikisha ujenzi wa Bara bara hiyo. Alisema uamuzi wa pande hizo mbili wa kupelekana Mahakamani hautowasaidia Wananchi ambao lengo lao ni kupata huduma za mawasiliano ya bara bara kwa kuendesha harakati zao za kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.

 

10 years ago

CloudsFM

Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.

Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania Bara kuajiriwa Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wananchi kutoka Tanzania Bara, wapo huru kuajiriwa Zanzibar katika sekta mbali mbali na hawachukuliwi kama wageni.

 

9 years ago

Mwananchi

Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara

Vurugu zimeibuka katika baadhi ya mikoa ya Bara na Zanzibar, hali iliyowalazimu polisi kutumia nguvu ikiwamo kurusha mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ushirikiano Bara na Zanzibar kudumu



NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Watanzania wanaoishi Zanzibar na Bara, wataendelea kushirikiana kwa miaka mingi zaidi kutokana na mwingiliano wao wa kidamu. Balozi Seif Ali IddiAlisema uwepo wa ushirikiano huo ndio njia pekee itakayotoa fursa kwa Watanzania hao kusaidiana katika kutatua changamoto zinazowakabili miongoni mwao na vizazi vyao. Balozi Iddi ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA

Na. Catherine Sungura-Zanzibar

Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.

Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Zanzibar,Bara zipokezane urais

>Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kwa mfumo wa muungano uliopo, ni vyema kila upande ukawa unatoa rais kila baada ya miaka 10.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani