‘Ardhi ya Zanzibar haijauzwa Bara’
WAZIRI wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ramadhan Abdalla Shaaban amesema Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi, ndiyo itakayotoa fursa kwa Zanzibar kuchimba mafuta na gesi, ambayo yameondolewa katika orodha ya mambo ya Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jsUEWWQm9Qk/VFdRKn3UHYI/AAAAAAAGvPo/-5cRqMiiTFs/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...
11 years ago
Habarileo14 May
Watanzania Bara kuajiriwa Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wananchi kutoka Tanzania Bara, wapo huru kuajiriwa Zanzibar katika sekta mbali mbali na hawachukuliwi kama wageni.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-XvB069yUGoU/VSTMncZIULI/AAAAAAAACC8/iPv-vs8Kue8/s72-c/Seif-Ali-Iddi.jpg)
Ushirikiano Bara na Zanzibar kudumu
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Watanzania wanaoishi Zanzibar na Bara, wataendelea kushirikiana kwa miaka mingi zaidi kutokana na mwingiliano wao wa kidamu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XvB069yUGoU/VSTMncZIULI/AAAAAAAACC8/iPv-vs8Kue8/s1600/Seif-Ali-Iddi.jpg)
11 years ago
Habarileo19 Mar
Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VREgq-K5VRQ/Xmj2MddGSBI/AAAAAAALipI/gVZFf7JC48E0gknkEZnHNl9Hsy1WmUj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/2fd4ef68-dd50-4057-95c4-1217a186073a.jpg)
ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA
Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.
Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Maalim Seif: Zanzibar,Bara zipokezane urais