Watanzania Bara kuajiriwa Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wananchi kutoka Tanzania Bara, wapo huru kuajiriwa Zanzibar katika sekta mbali mbali na hawachukuliwi kama wageni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Watanzania msiwaze kuajiriwa, jiajirini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jsUEWWQm9Qk/VFdRKn3UHYI/AAAAAAAGvPo/-5cRqMiiTFs/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
9 years ago
Habarileo14 Sep
Maalim Seif akana kubagua Watanzania Bara
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewatoa hofu wananchi wenye asili ya Tanzania Bara kuwa wataendelea kuishi Zanzibar kwa usalama bila ya usumbufu wa aina yoyote.
10 years ago
Habarileo28 Oct
‘Ardhi ya Zanzibar haijauzwa Bara’
WAZIRI wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ramadhan Abdalla Shaaban amesema Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi, ndiyo itakayotoa fursa kwa Zanzibar kuchimba mafuta na gesi, ambayo yameondolewa katika orodha ya mambo ya Muungano.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-XvB069yUGoU/VSTMncZIULI/AAAAAAAACC8/iPv-vs8Kue8/s72-c/Seif-Ali-Iddi.jpg)
Ushirikiano Bara na Zanzibar kudumu
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Watanzania wanaoishi Zanzibar na Bara, wataendelea kushirikiana kwa miaka mingi zaidi kutokana na mwingiliano wao wa kidamu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XvB069yUGoU/VSTMncZIULI/AAAAAAAACC8/iPv-vs8Kue8/s1600/Seif-Ali-Iddi.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara
11 years ago
MichuziMAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA
baada ya kikao cha kujadili mambo kadhaa ya...
11 years ago
Habarileo19 Mar
Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.
11 years ago
GPLMAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA