Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania msiwaze kuajiriwa, jiajirini

Vijana na Watanzania kwa jumla wameaswa kuacha kutegemea ajira za ofisini, badala yake watafakari namna ya kujiingiza katika ujasiriamali ili kuondokana na umaskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Vijana msiwaze kuajiriwa, jiajirini’

Vijana wameshauriwa kuacha kutegemea ajira za ofisini, badala yake watafakari namna ya kujiingiza katika ujasiriamali ili kuondokana na umaskini.

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania Bara kuajiriwa Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wananchi kutoka Tanzania Bara, wapo huru kuajiriwa Zanzibar katika sekta mbali mbali na hawachukuliwi kama wageni.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu 35,000 kuajiriwa mwaka huu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari, ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 1,900 wa usalama kuajiriwa Uingereza

Uingereza imeongeza bajeti kwa vitengo vyake vya usalama nchini humo baada IS kutangaza kuhusika na mashambulio hayo ya Paris .

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahitimu Vyuo Vikuu msisubiri kuajiriwa’

WAHITIMU wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa  kutumia elimu waliyoipata katika kujiajiri na kubuni miradi mbalimbali ya maendelo  badala ya kusubiri kuajiriwa na serikali au makampuni binafsi. Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana wapewa kipaumbele kuajiriwa DRC

Zaidi ya vijana 300 waliomaliza elimu ya vyuo Kikuu, Jamuhuri ya Kidemokrai ya Congo wameanza rasmi ajira za umma.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wapya 36,021 kuajiriwa Aprili Mosi

SERIKALI imesema kuanzia Aprili Mosi, mwaka huu itaajiri rasmi jumla ya walimu wapya 36,021, ambao wamehitimu masomo yao mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali. Walimu hao watakaoajiriwa rasmi na Halmashauri, walimu wa ngazi ya cheti Daraja la III A ambao hufundisha shule za msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari 18,093.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini

ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wengine wapya 2,219 kuajiriwa nchini

SERIKALI itaajiri walimu wengine wapya wapatao 2,219, kufundisha katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu hao ni mbali na wengine wapya 33,894, ambao wameajiriwa hadi kufikia Mei 30, mwaka huu, Bunge lilielezwa mjini hapa jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani