‘Vijana msiwaze kuajiriwa, jiajirini’
Vijana wameshauriwa kuacha kutegemea ajira za ofisini, badala yake watafakari namna ya kujiingiza katika ujasiriamali ili kuondokana na umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Watanzania msiwaze kuajiriwa, jiajirini
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Vijana wapewa kipaumbele kuajiriwa DRC
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini
ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...
10 years ago
Michuzi21 Feb
TAARIFA YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO KWA KUJITOLEA NA KUTAKA KUAJIRIWA NA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfAkxJgxDtg/VOc0eZxe6lI/AAAAAAADN2k/UA-FPaIyxRc/s1600/blogger-image-164819453.jpg)
Baadhi ya sababu za kuanzishwa kwa JKT ni:
Kubadili fikra za vijana wa nchi hii kutoka ile hali ya ukoloni kutegemea nchi nyingine kuleta maendeleo.
Kukusanya nguvu za vijana wote wa nchi hii na kuzielekeza kwa umoja wao kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya...
11 years ago
Habarileo14 May
Watanzania Bara kuajiriwa Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema wananchi kutoka Tanzania Bara, wapo huru kuajiriwa Zanzibar katika sekta mbali mbali na hawachukuliwi kama wageni.
10 years ago
Habarileo21 Feb
Walimu 35,000 kuajiriwa mwaka huu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari, ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Maafisa 1,900 wa usalama kuajiriwa Uingereza
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
‘Wahitimu Vyuo Vikuu msisubiri kuajiriwa’
WAHITIMU wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa kutumia elimu waliyoipata katika kujiajiri na kubuni miradi mbalimbali ya maendelo badala ya kusubiri kuajiriwa na serikali au makampuni binafsi. Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki...
11 years ago
Habarileo05 Jun
Walimu wengine wapya 2,219 kuajiriwa nchini
SERIKALI itaajiri walimu wengine wapya wapatao 2,219, kufundisha katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu hao ni mbali na wengine wapya 33,894, ambao wameajiriwa hadi kufikia Mei 30, mwaka huu, Bunge lilielezwa mjini hapa jana.