Maafisa 1,900 wa usalama kuajiriwa Uingereza
Uingereza imeongeza bajeti kwa vitengo vyake vya usalama nchini humo baada IS kutangaza kuhusika na mashambulio hayo ya Paris .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama
Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia
Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri
Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
30 wauawa maafisa wa usalama wakipigana Somalia
Watu 40,000 wamekimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya maafisa wa usalama kutoka maeneo mawili
10 years ago
MichuziUingereza yashirikiana na TAKUKURU kutoa mafunzo kwa maafisa toka ofisi 27 za mikoa
Wachunguzi toka ofisi 27 za Mikoa za TAKUKURU wanapata ujuzi kupitia mafunzo yenye kugusa masuala ya utakatishaji wa fedha, kupata taarifa na mlolongo wa uhalifu kwa kutumia sheria za sasa za Tanzania.
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones. Wachunguzi toka ofisi 27 za Mikoa za TAKUKURU wakimsikiliza kwa makini, Afisa wa Uingereza toka...
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones. Wachunguzi toka ofisi 27 za Mikoa za TAKUKURU wakimsikiliza kwa makini, Afisa wa Uingereza toka...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je maafisa wa usalama wa Afrika wanazingatia haki za raia katika udhibiti wa maambukizi?
Askari wenye silaha wamekua wakiwapiga na kuwarushia maji ya gesi watu katika maeneo mbalimbali ya mataifa ya Afrika na wengine kufikia hata kuwauwa ili kuhakikisha kuwa hatua za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona zinachukuliwa.
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)
Acting High Commissioner, Ms Penny Smith hands over aviation security equipment to Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Mr. Charles ChachaActing High Commissioner, Ms. Penny Smith hands over a certificate to one of the participant of the training course.Acting High Commissioner, Ms Penny Smith giving her keynote address during closing of training course and handling of aviation security equipments along side are Vicky Hutchinson (RASLO) and TCAA Director General, Mr...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Watanzania msiwaze kuajiriwa, jiajirini
Vijana na Watanzania kwa jumla wameaswa kuacha kutegemea ajira za ofisini, badala yake watafakari namna ya kujiingiza katika ujasiriamali ili kuondokana na umaskini.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
‘Vijana msiwaze kuajiriwa, jiajirini’
Vijana wameshauriwa kuacha kutegemea ajira za ofisini, badala yake watafakari namna ya kujiingiza katika ujasiriamali ili kuondokana na umaskini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania