Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


30 wauawa maafisa wa usalama wakipigana Somalia

Watu 40,000 wamekimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya maafisa wa usalama kutoka maeneo mawili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia

Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Somalia wanunia Kenya

Maafisa wa Somalia wamekataa kukutana na maafisa wa Kenya kujadili mkataba uliofikiwa mwaka jana kuhusu kuwarejesha kwao wakimbizi wasomali wanaoishi nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: Walaani kuuawa maafisa wake Somalia

Umoja wa Mataifa umelaani kuuawa kwa maafisa wake wawili nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa Polisi 20 wauawa Afghanistan

Maafisa Mashariki mwa Afghanistan wamesema maafisa wa Polisi 20 wameuawa katika mashambulio kadhaa

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa jeshi wauawa Misri

Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama

Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani