Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN: Walaani kuuawa maafisa wake Somalia

Umoja wa Mataifa umelaani kuuawa kwa maafisa wake wawili nchini Somalia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati walaani wanawake kuuawa

MTANDAO wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (Mkuki), umelaani matukio ya wanawake kuuawa kikatili na watu wasiojulikana ambao wakati mwingine huwakata na kuchukua viungo kwenye miili yao, ili kuvitumia kwenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Somalia wanunia Kenya

Maafisa wa Somalia wamekataa kukutana na maafisa wa Kenya kujadili mkataba uliofikiwa mwaka jana kuhusu kuwarejesha kwao wakimbizi wasomali wanaoishi nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia

Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais

 

9 years ago

BBCSwahili

30 wauawa maafisa wa usalama wakipigana Somalia

Watu 40,000 wamekimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya maafisa wa usalama kutoka maeneo mawili

 

10 years ago

GPL

DK SLAA APELEKA MALALAMIKO YA KUTAKA KUUAWA NA MLINZI WAKE MAKAO MAKUU YA POLISI DAR

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa (pichani kushoto) muda huu ametoka katika ofisi za Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam alipokwenda kupeleka malalamiko yake ya kutaka kuuawa na mlinzi wake aitwaye Khalid Kangezi. Dk. Slaa amekabidhi malalamiko yake hayo kwa maandishi ambapo zaidi ya kurasa tisa amezikabidhi kituoni hapo. Akiongea na wanahabari, Dk. Slaa amesema kuwa hajaitwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kuokoa jahazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza kutuma wanajeshi wake Somalia

Uingereza imetangaza kwamba itawatuma wanajeshi wake Somalia kusaidia wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanaolinda amani huko.

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YAFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAAFISA WAKE JIJINI DAR LEO

 Maafisa ufuatiliaji wa TASAF wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga (aliyeketi katikati) baada ya kufungua semina elekezi jijini DSM  Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga akisisitiza jambo wakati alipofungua semina elekezi kwa maafisa ufuatiliaji (TA) iliyofanyika kwenye ukumbi wa CEEMI jijini DSM.  Baadhi ya Maafisa ufuatiliaji ambao wanatarajiwa kuanza kazi katika halmashauri kadhaa za wilaya nchini wakimsikiliza mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Mark Thomas Esper na Naibu wake wamewekwa karantini tangu Jumatatu ya jana baada ya kuthibitika kuwa, maafisa 37 wa wizara hiyo wameambukizwa virisi vya corona.

Taarifa ilitotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema kuwa, miongoni mwa maafisa wa wizara hiyo walioathirika na virusi vya corona wamo askari 18, suala ambalo limezidisha wasiwasi wa kusambaa zaidi virusi hivyo katika jeshi la Marekani.

Habari hii ya kuwekwa karantini Waziri wa Ulinzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani