UN: Walaani kuuawa maafisa wake Somalia
Umoja wa Mataifa umelaani kuuawa kwa maafisa wake wawili nchini Somalia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wanaharakati walaani wanawake kuuawa
MTANDAO wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (Mkuki), umelaani matukio ya wanawake kuuawa kikatili na watu wasiojulikana ambao wakati mwingine huwakata na kuchukua viungo kwenye miili yao, ili kuvitumia kwenye...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Maafisa wa Somalia wanunia Kenya
Maafisa wa Somalia wamekataa kukutana na maafisa wa Kenya kujadili mkataba uliofikiwa mwaka jana kuhusu kuwarejesha kwao wakimbizi wasomali wanaoishi nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia
Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
30 wauawa maafisa wa usalama wakipigana Somalia
Watu 40,000 wamekimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya maafisa wa usalama kutoka maeneo mawili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJMTL*k*SB3ZmOvM0jrIJ-gohRRCeX10WwpLzPNWtBpnil0bsfqOHHuh75pvPioHWE0K8egII6zt85OieMdVbhHM/DK.SLAA.jpg)
DK SLAA APELEKA MALALAMIKO YA KUTAKA KUUAWA NA MLINZI WAKE MAKAO MAKUU YA POLISI DAR
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa (pichani kushoto) muda huu ametoka katika ofisi za Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam alipokwenda kupeleka malalamiko yake ya kutaka kuuawa na mlinzi wake aitwaye Khalid Kangezi. Dk. Slaa amekabidhi malalamiko yake hayo kwa maandishi ambapo zaidi ya kurasa tisa amezikabidhi kituoni hapo. Akiongea na wanahabari, Dk. Slaa amesema kuwa hajaitwa...
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kuokoa jahazi.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Uingereza kutuma wanajeshi wake Somalia
Uingereza imetangaza kwamba itawatuma wanajeshi wake Somalia kusaidia wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanaolinda amani huko.
11 years ago
MichuziTASAF YAFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAAFISA WAKE JIJINI DAR LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6jfYbb-5xM/XnEnh7bG34I/AAAAAAALkMs/UyopSxfXsGMn_rE_AWoS9iSeWvNpSARQwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7fc40bd380e1mb6q_800C450.jpg)
Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-b6jfYbb-5xM/XnEnh7bG34I/AAAAAAALkMs/UyopSxfXsGMn_rE_AWoS9iSeWvNpSARQwCLcBGAsYHQ/s640/4bv7fc40bd380e1mb6q_800C450.jpg)
Taarifa ilitotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema kuwa, miongoni mwa maafisa wa wizara hiyo walioathirika na virusi vya corona wamo askari 18, suala ambalo limezidisha wasiwasi wa kusambaa zaidi virusi hivyo katika jeshi la Marekani.
Habari hii ya kuwekwa karantini Waziri wa Ulinzi wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania