CUF yapinga rasmi ushindi wa CCM Mbagala
Chama cha Wananchi (CUF) kimeuweka rehani ushindi wa mbunge mteule wa Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Issa Mangungu, baada ya kufungua kesi kikipinga matokeo yaliyompa ushindi huo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen30 Oct
CUF cries foul as candidate for CCM captures Mbagala
11 years ago
Mwananchi09 Mar
CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s72-c/mangungu_01.jpg)
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s640/mangungu_01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQK82ZD4vAI/VhIogzhfWgI/AAAAAAABhzc/ccRWMb4t4aQ/s640/mangungu_03.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c-gOEd6_w1Y/VhIokOWJzwI/AAAAAAABh0U/3mrOoWqlfUM/s640/mangungu_08.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Maalim Seif aitabiria CUF ushindi mkubwa
11 years ago
Habarileo22 May
CCM Iringa yapinga madiwani kuzuru Dar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia katika vuta nikuvute na Baraza la Madiwani la halmashauri hiyo, kikipinga madiwani wake kufanya ziara ya mafunzo katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara. Katika kupinga ziara hiyo, CCM imemuandikia barua Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba ikieleza sababu zake za kufanya hivyo.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Dk Magufuli amewasili viwanja vya Zakhiem, Mbagala kwa ajili ya kutambulishwa rasmi
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/0T4D_Wnu0fQ/default.jpg)
9 years ago
MichuziMAGUFULI CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO YAANZA KWA USHINDI
Magoli yote mawili ya Abajalo yamefungwa na Lameck Daiton, goli la kwanza limefungwa dakika ya tisa wakati goli la pili limefungwa dakika ya 11 kwa mkwaju wa penati baada ya Muhsin Said kuangushwa kwenye eneo la hatari wakati akielekea...