Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yapinga rasmi ushindi wa CCM Mbagala

Chama cha Wananchi (CUF) kimeuweka rehani ushindi wa mbunge mteule wa Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Issa Mangungu, baada ya kufungua kesi kikipinga matokeo yaliyompa ushindi huo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

CUF cries foul as candidate for CCM captures Mbagala

CCM candidate Mangungu Issa was yesterday declared the winner of Mbagala parliamentary seat after five days of delay in releasing the results.

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.

 

9 years ago

Michuzi

MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA

  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. (Na Mpigapicha Wetu)  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. 
Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za mgombea wa ubunge wa Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif aitabiria CUF ushindi mkubwa

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema upepo wa kisiasa unakivumia vizuri chama chake na ana matumaini Uchaguzi Mkuu ujao kitapata viti 18 vya uwakilishi katika ngome ya CCM Unguja.

 

11 years ago

Habarileo

CCM Iringa yapinga madiwani kuzuru Dar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimeingia katika vuta nikuvute na Baraza la Madiwani la halmashauri hiyo, kikipinga madiwani wake kufanya ziara ya mafunzo katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara. Katika kupinga ziara hiyo, CCM imemuandikia barua Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba ikieleza sababu zake za kufanya hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015

>Ni uamuzi wa kikatiba uliofanywa na Chama cha Wananchi (CUF) kufanya mkutano wa sita wa taifa kwa siku tano uliomalizika wiki iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli amewasili viwanja vya Zakhiem, Mbagala kwa ajili ya kutambulishwa rasmi

Dk Magufuli amewasili viwanja vya Zakhiem, Mbagala kwa ajili ya kutambulishwa rasmi kama mgombea urasi kupitia CCM

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO YAANZA KWA USHINDI

TIMU ya Abajalo SC leo imeifunga timu ya Zakhem SC kwa bao 2-1 kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano ya Magufuli Cup ‘#Hapa Kazi Tu’ iliyoanza kutimua vumbi rasmi leo kwa mchezo mmoja uliochezwa kwenye uwanja wa Mwl. Nyerere, Magomeni jijini Dar es Salaam.

 Magoli yote mawili ya Abajalo yamefungwa na Lameck Daiton, goli la kwanza limefungwa dakika ya tisa wakati goli la pili limefungwa dakika ya 11 kwa mkwaju wa penati baada ya Muhsin Said kuangushwa kwenye eneo la hatari wakati akielekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani