‘Huduma za maji, umeme zimekua’
Wakati huduma za umeme na maji zikilalamikiwa na wananchi kwamba hazijaboreshwa, takwimu zilizotolewa na Serikali zinaeleza kuwa huduma hizo zimekua mara mbili zaidi mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Feb
Huduma za umeme, maji, mafuta zalalamikiwa.
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Huduma za umeme, maji safi na usafi wa mazingira na bei ya mafuta nchini zimeongoza kwa kulalamikiwa na wananchi katika baraza la ushauri la watumiaji wa huduma zinazodhibitiwa na EWURA kutokana na kuonekana kutokidhi mahitaji ya watumiaji.
Mamlaka zinazohusika na huduma hizo zimeshauriwa kutoa taarifa za matatizo yanayojitokeza mapema ili kuepusha usumbufu kwa watumiaji watumiaji nao wakitakiwa kuwasilisha malalamiko yao katika baraza hilo.
Hayo yamebainika mjini...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s72-c/Picha%2Bna%2B4.jpg)
MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TiIEhYdjVC8/VQr53lHgT7I/AAAAAAAHLjg/fykWROwrNRU/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Aug
Msolwa kufua umeme wa maji
SHIRIKA la Kanisa Katoliki la Stig Martin Fathers, linajenga mradi wa kufua umeme wa maji katika Kijiji cha Msolwa Kata ya Kisanga wilayani Kilosa, utakaogharimu Sh bilioni 9 hadi utakapokamilika. Rais Jakaya Kikwete aliweka jiwe la msingi la mradi huo wa umeme, juzi.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Umeme bei juu, huduma zilezile
11 years ago
Habarileo26 Jul
900 wafaidika na huduma za umeme Mufindi
ZAIDI ya wateja 900 wa vijiji 14 vya kata za Ihanu, Luhunga na Mdabulo wilayani Mufindi mkoani Iringa wamepata umeme, ikiwa ni mwaka mmoja na nusu tangu mradi wa umeme wa Mwenga ukamilike.
11 years ago
Habarileo30 Dec
‘Miradi ya umeme kwa maji kutoanzishwa’
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema serikali haitaanzisha miradi ya kufua umeme kwa njia ya maji nchini kutokana na nchi kukumbwa na ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
Mwananchi30 May
Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Tanesco wajivunia uzalishaji wa umeme kwa maji