Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huduma za umeme, maji, mafuta zalalamikiwa.

Na Blaya Moses,

Dodoma.

 

Huduma za umeme, maji safi na usafi wa mazingira na bei ya mafuta nchini zimeongoza kwa kulalamikiwa na wananchi katika baraza la ushauri la watumiaji wa huduma zinazodhibitiwa na EWURA kutokana na kuonekana kutokidhi mahitaji ya watumiaji.

Mamlaka zinazohusika na huduma hizo zimeshauriwa kutoa taarifa za matatizo yanayojitokeza mapema ili kuepusha usumbufu kwa watumiaji watumiaji nao wakitakiwa kuwasilisha malalamiko yao katika baraza hilo.

 

Hayo yamebainika mjini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Huduma za maji, umeme zimekua’

Wakati huduma za umeme na maji zikilalamikiwa na wananchi kwamba hazijaboreshwa, takwimu zilizotolewa na Serikali zinaeleza kuwa huduma hizo zimekua mara mbili zaidi mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.Ofisa Mawasiliano wa Ewura, Titus Kaguo (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.Wanahabari wakiwa kwenye mkutano...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea mkoani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji

Picha na 4

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki  na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.

Picha na 5

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bezi za mafuta na umeme zapanda Misri

Bei za mafuta na umeme zilizopanda zimeanza kutekelezwa nchini Misri huku serikali ikianza kukata ruzuku yake.

 

10 years ago

Habarileo

Msolwa kufua umeme wa maji

SHIRIKA la Kanisa Katoliki la Stig Martin Fathers, linajenga mradi wa kufua umeme wa maji katika Kijiji cha Msolwa Kata ya Kisanga wilayani Kilosa, utakaogharimu Sh bilioni 9 hadi utakapokamilika. Rais Jakaya Kikwete aliweka jiwe la msingi la mradi huo wa umeme, juzi.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA CORONA(T)LTD NI KINARA WA KUJAZA MAFUTA KUPITIA HUDUMA YA M PESA YA VODACOM

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim (kushoto)akiongea jambo kwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Corona (T) Ltd baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapojaza mafuta kwenye vituo vya OilCom( wapili kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Raphael Habiyaremye ,Meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa ,Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher, Meneja wa Maswala ya Kompyuta wa OILCOM Tanzania Abubakar Mwita.Hafla hiyo ilifanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme bei juu, huduma zilezile

Serikali hivi karibuni ilitangaza kupandisha bei ya umeme baada ya mapendekezo yake kukubaliwa na Mamlaka ya Nishati na Maji (Ewura).

 

11 years ago

Habarileo

900 wafaidika na huduma za umeme Mufindi

ZAIDI ya wateja 900 wa vijiji 14 vya kata za Ihanu, Luhunga na Mdabulo wilayani Mufindi mkoani Iringa wamepata umeme, ikiwa ni mwaka mmoja na nusu tangu mradi wa umeme wa Mwenga ukamilike.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani