Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gilla anusurika kufa maji

Gilla (2)Gilla akiogelea
Gilla (1)…akiokolewa baada ya kuzidiwa na maji.Gilla (5)…akipatiwa huduma ya kwanza
Gilla (6)
Gilla-(10)
Stori:Mayasa Mariwata

MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amejikuta akinusurika kifo wakati alipokuwa akiogelea kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar baada ya maji kumzidi kiwango na kuokolewa na wasamaria wema juzi Alhamisi wakati watu wakiwa katika harakati za kuusubiria Mwaka Mpya.

Gilla-(4)Kwa mujibu wa chanzo chetu, awali msanii huyo ambaye alifika mahali hapo mida ya jioni aliamua kutulia kwenye viti...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ANUSURIKA KUFA BAADA YA KUGONGWA NA BODABODA

Polisi akizungumza jambo katikati ya mashuhuda wa ajali hiyo. Kundi la watu likiwa limemzunguka mwanamke aliyegongwa na bodaboda (haonekani).  Kushoto (mwenye bodaboda akiwa na shati jeupe) ni mtu aliyemgonga mwanamke huyo. Na Gabriel Ng’osha/GPL  MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika amenusurika katika ajali  baada ya kugongwa  na bodaboda  (pikipiki) maeneo ya Ubungo mnamo saa… ...

 

11 years ago

GPL

DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya gari ndogo na mwendesha bodaboda. Pikipiki ikiwa imelazwa pembeni ya barabara.…

 

11 years ago

GPL

MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR

Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…

 

10 years ago

Habarileo

7 wahofiwa kufa maji Kigoma

Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia wahofiwa kufa maji Libya

Zoezi la uokoaji zinaendelea katika pwani ya Libya baada ya boti mbili zilizokuwa na zaidi ya wahamiaji 500 kuzama karibu na bandari ya Zuwara

 

11 years ago

KwanzaJamii

”MV Ruhuhu yasababisha watu kufa maji”

Na Albano Midelo WATU wanaendelea kupoteza maisha katika mto Ruhuhu kutokana na kuvuka mto huo kwa mtumbwi baada ya kivuko cha MV Ruhuhu pichani juu kushindwa kufanyakazi karibu msimu mzima wa mwaka. Kutofanyakazi kwa kivuko cha Ruhuhu kinachounganisha wilaya za Nyasa mkoani Ruvuma na Ludewa mkoani Njombe kunasababisha vifo vya  watu wanaoamua kuvuka mto Ruhuhu kwa kutumia mitumbwi. Wiki hii watu wanne wamepoteza maisha wakati wanajaribu kuvuka mto Ruhuhu kwa kutumia mtumbwi,kasi ya maji ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji wahofiwa kufa maji

Mamia ya wahamiaji wanahofiwa kufa maji baada ya boti iliokuwa wakiabiri kuzama karibu na pwani ya Libya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima saba wahofiwa kufa maji

WAKULIMA saba wanahofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Utete kuelekea Mkongo kupigwa wimbi na kugonga boti kisha kupinduka. Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11 jioni katika Kivuko...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani