Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


”MV Ruhuhu yasababisha watu kufa maji”

Na Albano Midelo WATU wanaendelea kupoteza maisha katika mto Ruhuhu kutokana na kuvuka mto huo kwa mtumbwi baada ya kivuko cha MV Ruhuhu pichani juu kushindwa kufanyakazi karibu msimu mzima wa mwaka. Kutofanyakazi kwa kivuko cha Ruhuhu kinachounganisha wilaya za Nyasa mkoani Ruvuma na Ludewa mkoani Njombe kunasababisha vifo vya  watu wanaoamua kuvuka mto Ruhuhu kwa kutumia mitumbwi. Wiki hii watu wanne wamepoteza maisha wakati wanajaribu kuvuka mto Ruhuhu kwa kutumia mtumbwi,kasi ya maji ya...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.

Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...

 

5 years ago

Michuzi

MVUA YASABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI MOROGORO


NA FARIDA SAIDY MOROGORO

Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo Mbalimbali Mkoani Morogoro zimesababisha Vifo vya watu wawili jana March 6 majira ya saa moja usiku katika Mtaa wa Kihimbwa Kata ya Boma Manispaa ya Morogoro.

Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Bw Antopas Ally amezungumza hayo na waandishi wa habari mara baada ya kufika Eneo husika na kusema kuwa waliokumbwa na maafa hayo ni mwanaume na mwanamke ambao walikuwa wanapata vinywaji katika duka moja lililopo karibu na daraja mtaani...

 

9 years ago

Global Publishers

Gilla anusurika kufa maji

Gilla (2)Gilla akiogelea
Gilla (1)…akiokolewa baada ya kuzidiwa na maji.Gilla (5)…akipatiwa huduma ya kwanza
Gilla (6)
Gilla-(10)
Stori:Mayasa Mariwata

MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amejikuta akinusurika kifo wakati alipokuwa akiogelea kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar baada ya maji kumzidi kiwango na kuokolewa na wasamaria wema juzi Alhamisi wakati watu wakiwa katika harakati za kuusubiria Mwaka Mpya.

Gilla-(4)Kwa mujibu wa chanzo chetu, awali msanii huyo ambaye alifika mahali hapo mida ya jioni aliamua kutulia kwenye viti...

 

10 years ago

Habarileo

7 wahofiwa kufa maji Kigoma

Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa Ziwa Tanganyika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia wahofiwa kufa maji Libya

Zoezi la uokoaji zinaendelea katika pwani ya Libya baada ya boti mbili zilizokuwa na zaidi ya wahamiaji 500 kuzama karibu na bandari ya Zuwara

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima saba wahofiwa kufa maji

WAKULIMA saba wanahofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Utete kuelekea Mkongo kupigwa wimbi na kugonga boti kisha kupinduka. Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11 jioni katika Kivuko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji wahofiwa kufa maji

Mamia ya wahamiaji wanahofiwa kufa maji baada ya boti iliokuwa wakiabiri kuzama karibu na pwani ya Libya.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.

 

11 years ago

GPL

WATU 200 WANUSURIKA KUFA

Watu 200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha baada ya kutua kwa dharura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani