Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfahamu msichana anayedaiwa kwenda Syria

BBC ilitembelea Chuo alichosoma Salwa Amir

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Msichana kutoka Syria ashitakiwa

Msichana wa kiholanzi aliyerejea kutoka Syria ambako alikwenda huko kujiunga na wapiganaji wa jihadi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzungumzo Syria kwenda 'mapumzikoni'

Awamu ya kwanza ya mazungumzo ya amani kuhusu Syria mjini Geneva inakamilika leo bila mafanikio makubwa lakini kuna matumaini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Mfahamu Jaji Bien wa #TECNOOwntheStage

BIEN (1)

Bien-Aime Baraza ni muimbaji mkuu wa kundi maarufu la Kenya, Sauti Sol. Pamoja na kuimba anapiga gitaa pia. Uandishi wake wa mashairi unakubalika na wengi.

Bien

Tangu kundi la Sauti Sol lianze mwaka 2006, Bien-Aime ameendelea kuwa na mchango mkubwa ikiwa pamoja na kushiriki kutengeneza album tatu za kundi hilo, Mwanzo (2008), Sol Filosofia (2011) na Live and Die in Afrika (2015).

Ameandika pia nyimbo kwa wasanii wengine likiwemo kundi la Elani, Amos & Josh na Wendy Kimani.

Mwaka huu ameungana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’

Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.

Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.

Movie ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfahamu Magufuli mgombea urais wa CCM

Dr. John Pombe Pombe Joseph Magufuli Mgombea urais kupita CCM kitaaluma ni Mwalimu na mtalaamu wa Kemia aliyezaliwa October 29 mwaka 1959 huko Chato mkoani Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani