Mfahamu msichana anayedaiwa kwenda Syria
BBC ilitembelea Chuo alichosoma Salwa Amir
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Msichana kutoka Syria ashitakiwa
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Mzungumzo Syria kwenda 'mapumzikoni'
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...
9 years ago
Bongo509 Dec
Mfahamu Jaji Bien wa #TECNOOwntheStage
![BIEN (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/BIEN-1-300x194.jpg)
Bien-Aime Baraza ni muimbaji mkuu wa kundi maarufu la Kenya, Sauti Sol. Pamoja na kuimba anapiga gitaa pia. Uandishi wake wa mashairi unakubalika na wengi.
Tangu kundi la Sauti Sol lianze mwaka 2006, Bien-Aime ameendelea kuwa na mchango mkubwa ikiwa pamoja na kushiriki kutengeneza album tatu za kundi hilo, Mwanzo (2008), Sol Filosofia (2011) na Live and Die in Afrika (2015).
Ameandika pia nyimbo kwa wasanii wengine likiwemo kundi la Elani, Amos & Josh na Wendy Kimani.
Mwaka huu ameungana...
10 years ago
Bongo Movies29 Mar
Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’
Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.
Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.
Movie ya...
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mfahamu Magufuli mgombea urais wa CCM