Adriano Leite Ribiero ashitakiwa
Mwanasoka wa zamani wa Brazil Adriano Leite Ribiero ameshitakiwa kwa kuwa na uhusiano na wauza madawa ya kulevya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen18 Mar
MEET THE AUTHOR: Dr George Adriano talks about choice
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Gwajima ashitakiwa
Asifiwe George na Evans Magege
HATIMAYE Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa mawili ya kutoa lugha ya matusi na uzembe wa kuhifadhi silaha yake.
Askofu Gwajima ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, waliotajwa mahakamani hapo kuwa ni Yekonia Behanaze, Jofrey Andrew na George Mzava.
Mbele ya Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera, wakili upande wa Serikali, Joseph Maugo, alidai kuwa Askofu Gwajima anakabiliwa na...
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Msichana kutoka Syria ashitakiwa
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Ashitakiwa kwa kutelekeza familia
MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.
Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.
Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.
Mshitakiwa alikana kutenda...
11 years ago
Habarileo21 May
Bosi UDA ashitakiwa bungeni
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika amemshitaki Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group inayoendesha Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, kutokana na kudai wabunge wa Dar es Salaam wamehongwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdz8SxDG-ZNoE98rxpR9NCwMqVsJcf5*dKNJRrRBAs-cIEMOCh0YdzLy2BTLDHx4rjJ*q7Qt7vbtxX1MBLELy-8/odinga.jpg?width=650)
ALIYEMCHAPA ODINGA BAKORA ASHITAKIWA
10 years ago
GPLGWAJIMA ASHITAKIWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan
10 years ago
GPLASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE