BASATA yatoa msukumo Tamasha la Krismasi
SERIKALI kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtaka Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama kuongeza ufanisi zaidi katika Tamasha la Krismasi mwaka huu kwa sababu kupitia matamasha yake anafanikisha matakwa ya jamii yenye uhitaji maalum.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mungereza alisema kwa mwenendo huo bora unaofanywa na Msama anatoa wito kuendeleza mwenendo huo ili kuisaidia jamii. Mungereza alisema Msama anafanikisha hayo kwa sababu anaipenda jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Tamasha la Krismasi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0PBthLeGFWI/Uvtz7h_ZDkI/AAAAAAACal4/emv8NrAOIIY/s72-c/images.jpg)
BASATA YAPONGEZA TAMASHA LA KRISIMASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0PBthLeGFWI/Uvtz7h_ZDkI/AAAAAAACal4/emv8NrAOIIY/s1600/images.jpg)
Akizungumza katika Kikao cha kuwasilisha ripoti ya tathmini ya Tamasha la Krismasi iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa Basata, Ofisa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s72-c/EDSON.jpg)
Mwasabwite kukonga Tamasha la Krismasi
![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s1600/EDSON.jpg)
Mwasabwite alisema amejipanga kikamilifu kukonga nyoyo za mashabiki wake katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, 26 na 28 hivyo mashabiki zake wajitokeze kwa wingi kupata burudani ya nguvu...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Kumekucha Tamasha la Krismasi leo
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Tamasha la Krismasi hadi mikoani
11 years ago
GPLTAMASHA LA KRISMASI LILIVYOFANA DAR
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
DVD Tamasha la Krismasi yakamilika
KAMPUNI ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa matamasha ya Pasaka na Krismasi, imekamilisha DVD ya Tamasha la Krismasi lililomalizika Januari mwaka huu. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nh0otPtPK6o/UxQINA7YNBI/AAAAAAAFQr4/bEqAA5cqTFw/s72-c/IMG_5530.jpg)
TAMASHA LA PASAKA RUKSA KUFANYIKA-BASATA
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) mwishoni mwa wiki iliyopita lilikabidhi kibali kupitia Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Godfrey Mngereza kwa ajili ya uendeshaji wa Tamasha la Pasaka linaloandaliwa na Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo ni muendelezo wa Tamasha la Pasaka lililoasisiwa tangu mwaka 2000 likiwa na lengo la kumtukuza na kumtumikia Mungu kupitia nyimbo mbalimbali za waimbaji wa Tanzania na nje ya nchi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-nh0otPtPK6o/UxQINA7YNBI/AAAAAAAFQr4/bEqAA5cqTFw/s1600/IMG_5530.jpg)