Tamasha la Krismasi
Kampuni ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa Tamasha la Krismasi wametangaza viingilio vya tamasha hilo ambavyo kima cha chini ni sh 5000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Tamasha la Krismasi hadi mikoani
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Kumekucha Tamasha la Krismasi leo
11 years ago
GPLTAMASHA LA KRISMASI LILIVYOFANA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s72-c/EDSON.jpg)
Mwasabwite kukonga Tamasha la Krismasi
![](http://4.bp.blogspot.com/-etVhOCEJN4Q/VIFuOdDCMuI/AAAAAAACv7E/OLGBrqTfMd0/s1600/EDSON.jpg)
Mwasabwite alisema amejipanga kikamilifu kukonga nyoyo za mashabiki wake katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, 26 na 28 hivyo mashabiki zake wajitokeze kwa wingi kupata burudani ya nguvu...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
DVD Tamasha la Krismasi yakamilika
KAMPUNI ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa matamasha ya Pasaka na Krismasi, imekamilisha DVD ya Tamasha la Krismasi lililomalizika Januari mwaka huu. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Kishindo Tamasha la Krismasi gumzo Dar
ZIKISALIA siku chache kabla ya kufanyika Tamasha la muziki wa Injili la Krismasi litakalozinduliwa Desemba 25 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Arusha, Morogoro, Tanga...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Rebeca Malope ndani ya Tamasha la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Rebecca Malope ambaye ni raia wa Afrika Kusini, anatarajia kuongeza nguvu katika Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, alisema mwimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake, Sarah K wa Kenya na Ephraim Sekeleti wa Zambia.
Msama alisema kamati yake inaendelea na mchakato wa kufanikisha tamasha hilo ambalo ni...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Waimbaji Tamasha la Krismasi waanza kutuaÂ
WAIMBAJI wa kimataifa wa nyimbo za injili ambao watahudumu katika Tamasha la Krismasi litakalozinduliwa Desemba 25 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, wameanza kuwasili tayari kuwapa raha wapenzi,...