Waimbaji Tamasha la Krismasi waanza kutuaÂ
WAIMBAJI wa kimataifa wa nyimbo za injili ambao watahudumu katika Tamasha la Krismasi litakalozinduliwa Desemba 25 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, wameanza kuwasili tayari kuwapa raha wapenzi,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/29.jpg)
WAIMBAJI WA TAMASHA LA KRISMASI MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO
 Mwimbaji wa muziki wa Injili Edson Mwasabwite akifafanua jambo wakati wa mkutano huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Kushoto ni mwimbaji Joshua Mlelwa na katikati ni Mwimbaji Tumaini Njole. Mwimbaji Joshua Mlelwa akielezea maandalizi yake wakati wa Tamasha la Pasaka litakalofanyika mkoani…
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Waimbaji Tamasha la Pasaka kupigwa msasa
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) na Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, kwa pamoja wanatarajia kutoa semina kwa waimbaji washiriki wa Tamasha la Pasaka linalotarajia kuanza Aprili 11...
10 years ago
Michuzi20 Dec
WAIMBAJI WA TAMASHA LA KRISMAS MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/118.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s72-c/IMG_9192.jpg)
WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s640/IMG_9192.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gkmW7jQKfSE/VgPxtWQl0xI/AAAAAAAAues/7CxsND3_Xls/s640/IMG_9249.jpg)
10 years ago
MichuziWAIMBAJI KUTOKA UINGEREZA WATUA KUNOGESHA TAMASHA LA PASAKA JUMAPILI UWANJA WA TAIFA.
Kelechi, akipokea ua kutoka kwa mwakilishi wa Kampuni ya Msama Promotions, Nyakwesy Mujaya, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam le kwa ajili ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka. Kulia ni Mwenyekiti wa tamasha hilo, Alex Msama.
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Tamasha la Krismasi
Kampuni ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa Tamasha la Krismasi wametangaza viingilio vya tamasha hilo ambavyo kima cha chini ni sh 5000.
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Tamasha la Krismasi hadi mikoani
>Maandalizi ya msimu wa sikukuu yameanza na kwa mara ya kwanza mwaka huu kutakuwa na Tamasha la Krismasi ambalo litazunguka katika mikoa kadhaa nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania