Necta yaanzisha vitabu vya uchambuzi
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limeanzisha vitabu vya uchambuzi vinavyoonyesha tathmini ya ufaulu kwa kila swali katika kila somo kwa shule za msingi. Vitabu hivyo vitasaidia kuongeza kiwango cha ufaulu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
KUFIKIA MALENGO YA BRN NECTA yazindua vitabu vya uchambuzi wa ufaulu
AGOSTI 15 2013 Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilizindua mpango wake wa utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa(BRN) katika sekta ya elimu. Uzinduzi huo uliofanywa na Waziri...
10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7UOasxh6Aw/VVKJS8kZ3jI/AAAAAAAAKec/bP3BzCARC6s/s200/Shaaban-Robert1.jpg)
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Benki yatoa vitabu vya mil.1.4/-
BENKI ya Afrika, Tawi la Mtwara imetoa msaada wa vitabu 118 vyenye thamani ya sh. milioni 1.4 kwa Shule ya Sekondari ya Bandari ya mkoani hapa. Akizungumza mara baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DR452U7PFC0wmviAZVXI1BQxzxiuCrVCXcD-223k7eWGRCjhOBZQ1ZmShk7fV7rhV-0mjruoNvoxxrn*mkB-Ztj/TangazoTangazoSababsaba.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Tigo yasaidia vitabu vya Sh6mil
11 years ago
Habarileo23 Mar
Mushkeli vitabu vya chenji ya rada
SHIRIKA la Kijamii lisilokuwa la kiserikali, Daraja, limeiomba serikali kusitisha kusambaza mashuleni vitabu vilivyonunuliwa kutokana na chenji ya rada. Hayo yalisemwa jana na ofisa mwandamizi wa shirika hilo, Lawrance Sigalla katika mkutano wake na waandishi wa habari.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TAS wataka vitabu vya maandishi makubwa
SERIKALI imeombwa kuchapisha vitabu maalum vyenye maandishi makubwa katika shule mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) walio na uono hafifu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mazinde Day wakabidhiwa vitabu vya sayansi
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Airtel kupitia mpango wake wa Airtel shule yetu, imetoa msaada wa vitabu vyenye thamani ya Sh milioni tatu kwa shule ya sekondari ya Mazinde Day ya mkoani Tanga wilaya ya Korogwe.