Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAS Geita wataka Serikali kufuta vibali vya waganga wa jadi

1.

Wakazi wa kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita wakianza maandamano ya matembezi  ya amani ya kupinga mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ule mavu wa ngozi yaliyofanyika mwishoni mwa wiki.

Na Alphonce Kabilondo, Geita .

MWENYEKITI wa Chama cha walemavu wa ngozi (Albinisms) (TAS) mkoani Geita, Bw Issack Timothy ameitaka serikali kufuta vibali vya  waganga  wajadi nchini ili kukomesha mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na waganga wa jadi kuwa chanzo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

vibali vya waganga wa jadi kusitishwa Same

NA RODRICK MUSHI, SAME
SERIKALI wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, imesema itafanya tathmini ya vibali vyote vya waganga wa jadi vilivyokwisha muda wake.
Pamoja na tathmini hiyo, pia uongozi utasimamisha kwa muda utoaji wa vibali vipya vya waganga wa jadi.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu Tawala Wilaya ya Same, Mashauri Msangi alipozungumza kwenye maadhimisho ya siku ya ulemavu wa ubongo duniani.
“Tutafanya tathmini ya vibali na tutasimamisha vibali vipya bila hofu ya kurogwa kwa vile...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yamtaka Nyalandu kufuta vibali vya uvunaji

Chama cha Mapinduzi mkoani hapa kimeitaka Serikali kufuta vibali vyote vya uvunaji mbao vilivyotolewa katika msitu wa Sao hill uliopo wilayani Mufindi kutokana na madai kuwa vilitolewa kwa upendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati meza) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Serikali kuunda timu maalumu ya kutembelea maeneo yaliyosugu kwa utekaji na mauaji ya albino nchini ambapo timu hiyo inatarajiwa kuanza kazi wiki mbili zijazo kwa kuanza na mikoa sugu ya matukio hayo ambayo ni Mwanza, Geita, Simiyu, Tabora na Shinyanga na baadaye itafuata mikoa mingine. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu na kushoto ni Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAS wataka vitabu vya maandishi makubwa

SERIKALI imeombwa kuchapisha vitabu maalum vyenye maandishi makubwa katika shule mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) walio na uono hafifu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Singida lawashikilia waganga wa jadi wakiwa na nyara mbalimbali za serikali

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, limetangaza vita dhidi ya waganga wa kienyeji wasiokuwa na vibali ambao wanajihusisha na kutoa ramli chonganishi.  Jeshi hilo limeanzisha msako mkali kwa waganga hao na kufanikiwa kukamata wanane katika kata moja ya Minga katika manispaa ya Singida.

Akitoa taarifa ya msako huo ulioanza machi 16 mwaka huu saa sita mchana, Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida,...

 

10 years ago

Mwananchi

Waganga wa jadi Moshi waonyana

Waganga wa jadi wanaotumia viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) ikiwa ni sehemu ya tiba, wametakiwa kutofanya hivyo kwa kuwa huo ni ukatili dhidi ya binadamu.

 

10 years ago

Mtanzania

Waganga 13 wa jadi watiwa mbaroni Katavi

NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi, limewakamata waganga 13 wa jadi katika Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele, kwakudaiwa kufanya kazi hiyo bila vibali maalumu.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari, aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba, waganga hao walikamatwa baada ya msako uliofanyika Machi 14 na 15 mwaka huu.
Pamoja na waganga hao kukamatwa, pia walipopekuliwa kwenye nyumba zao walikutwa na vitu mbalimbali wanavyovitumia kufanyia shughuli...

 

9 years ago

Habarileo

Matangazo ya waganga wa jadi yapigwa marufuku

SERIKALI imepiga marufuku matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuanzia jana. Aidha, wale wote wenye vibali wanatakiwa kuwasilisha vibali na matangazo hivyo katika Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kwa ajili ya kuvifanyia mapitio upya.

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti watoa mimba kwa waganga wa jadi

WATOTO wanaokatisha masomo kwa kupata ujauzito na wengine wanaopata mimba kabla ya ndoa wakiwa nyumbani, wanadaiwa kujihusisha na utoaji mimba kwa waganga wa jadi kutokana na hofu ya kutengwa na jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani