Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yamtaka Nyalandu kufuta vibali vya uvunaji

Chama cha Mapinduzi mkoani hapa kimeitaka Serikali kufuta vibali vyote vya uvunaji mbao vilivyotolewa katika msitu wa Sao hill uliopo wilayani Mufindi kutokana na madai kuwa vilitolewa kwa upendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TAS Geita wataka Serikali kufuta vibali vya waganga wa jadi

1.

Wakazi wa kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita wakianza maandamano ya matembezi  ya amani ya kupinga mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ule mavu wa ngozi yaliyofanyika mwishoni mwa wiki.

Na Alphonce Kabilondo, Geita .

MWENYEKITI wa Chama cha walemavu wa ngozi (Albinisms) (TAS) mkoani Geita, Bw Issack Timothy ameitaka serikali kufuta vibali vya  waganga  wajadi nchini ili kukomesha mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na waganga wa jadi kuwa chanzo...

 

11 years ago

Habarileo

SUMATRA yatoa vibali vya dharura 75 vya mabasi

JUMLA ya vibali vya dharura 75 vya mabasi vimetolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la usafiri kipindi hiki cha sikukuu huku hali ya usafiri katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo ikizidi kuwa ngumu.

 

10 years ago

Vijimambo

Kiama vyama vya siasa, Mageuzi kuwalazimu kubadilisha Katiba zao, Lengo ni pamoja na kufuta vikundi vya ulinzi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Mtikisiko mkubwa unavikabili vyama vya siasa nchini, vinapoandaliwa kufanya mabadiliko ya lazima kwa Katiba zao, ili pamoja na mambo mengine, vifute vifungu vinavyohalalisha uhai wa vikundi vya ulinzi na usalama.

Hatua hiyo inatokana na kubainika kuwapo kwa vifungu vya katiba hizo hasa vinavyohusu uwapo wa vikundi vya ulinzi na usalama na hivyo kukiuka Katiba ya nchi inayotoa haki hiyo kwa majeshi ya ulinzi na usalama.

Taarifa za uhakika...

 

9 years ago

Habarileo

Vibali vya uwindaji vyasitishwa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.

 

10 years ago

Mtanzania

vibali vya waganga wa jadi kusitishwa Same

NA RODRICK MUSHI, SAME
SERIKALI wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, imesema itafanya tathmini ya vibali vyote vya waganga wa jadi vilivyokwisha muda wake.
Pamoja na tathmini hiyo, pia uongozi utasimamisha kwa muda utoaji wa vibali vipya vya waganga wa jadi.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu Tawala Wilaya ya Same, Mashauri Msangi alipozungumza kwenye maadhimisho ya siku ya ulemavu wa ubongo duniani.
“Tutafanya tathmini ya vibali na tutasimamisha vibali vipya bila hofu ya kurogwa kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘E-Immagration’ kurahisisha vibali vya uhamiaji

MFUMO wa ‘E-immagration’ unaelezwa kuwa utakuwa suluhu katika kutatua tatizo la kuchukua muda mrefu katika kushughulikia vibali vya wageni wanaotoka na kuingia nchini. Akizungumza na Tanzania Daima katika maonyesho ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waganda wapata vibali vya kazi Saudia

Mazungumzo yaliyofanywa kati ya Uganda na Saud Arabia, yametoa nafasi kwa raia wa Uganda kupata vibali vya kufanya kazi nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya kudhibiti utoaji vibali vya ujenzi

HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya imesema kuanzia sasa vibali vyote vya ujenzi wa majengo katika jiji hilo vitatolewa na Mhandisi wa Ujenzi badala ya maofisa wengine wa jiji ili kudhibiti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yahusishwa vibali vya utoroshaji wanyama

KAMPUNI ya HAM Marketing and Gumbo Enterprise ya jijini Arusha imetajwa kuhusika katika uombaji wa vibali vya kukamata wanyama hai 154, wakiwemo Twiga wanne waliotoroshwa kwenda uarabuni kupitia uwanja wa Kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani