Mbeya kudhibiti utoaji vibali vya ujenzi
HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya imesema kuanzia sasa vibali vyote vya ujenzi wa majengo katika jiji hilo vitatolewa na Mhandisi wa Ujenzi badala ya maofisa wengine wa jiji ili kudhibiti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
TPSF: Urasimu utoaji vibali vya ujenzi kikwazo cha maendeleo
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), imesema Tanzania haiwezi kuendelea kukwamishwa na urasimu wa utoaji wa vibali vya ujenzi ambavyo vinarudisha nyuma juhudi za kujenga mazingira bora ya kufanya biashara...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VEZbFhYYLjI/U0ylYiqyA1I/AAAAAAAFayk/KW_QF3ehC7I/s72-c/1366839766Rusumo.jpg)
MAENDELEO YA UJENZI WA VITUO VYA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA MIPAKANI (ONE STOP BORDER POSTS)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VEZbFhYYLjI/U0ylYiqyA1I/AAAAAAAFayk/KW_QF3ehC7I/s1600/1366839766Rusumo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_jHL9VY8Ek/U0ymH3_ML9I/AAAAAAAFayw/BUatDaC8fmY/s1600/unnamed+(36).jpg)
9 years ago
VijimamboTFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI
11 years ago
Habarileo24 Dec
SUMATRA yatoa vibali vya dharura 75 vya mabasi
JUMLA ya vibali vya dharura 75 vya mabasi vimetolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la usafiri kipindi hiki cha sikukuu huku hali ya usafiri katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo ikizidi kuwa ngumu.
10 years ago
VijimamboTTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KATIKA SHULE YA SEKONDARI LUSWISWI ILEJE MBEYA
9 years ago
Habarileo18 Oct
Vibali vya uwindaji vyasitishwa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
‘E-Immagration’ kurahisisha vibali vya uhamiaji
MFUMO wa ‘E-immagration’ unaelezwa kuwa utakuwa suluhu katika kutatua tatizo la kuchukua muda mrefu katika kushughulikia vibali vya wageni wanaotoka na kuingia nchini. Akizungumza na Tanzania Daima katika maonyesho ya...
10 years ago
Mtanzania08 Apr
vibali vya waganga wa jadi kusitishwa Same
NA RODRICK MUSHI, SAME
SERIKALI wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, imesema itafanya tathmini ya vibali vyote vya waganga wa jadi vilivyokwisha muda wake.
Pamoja na tathmini hiyo, pia uongozi utasimamisha kwa muda utoaji wa vibali vipya vya waganga wa jadi.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu Tawala Wilaya ya Same, Mashauri Msangi alipozungumza kwenye maadhimisho ya siku ya ulemavu wa ubongo duniani.
“Tutafanya tathmini ya vibali na tutasimamisha vibali vipya bila hofu ya kurogwa kwa vile...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Pwani wasitisha vibali vya kukata miti
MKUU wa Mkoa wa Pwani Hajat Mwantumu Mahiza amesitisha vibali vya ukataji miti ambavyo vimesababisha uharibifu wa mazingira katika misitu iliyopo mkoani humo. Mahiza alisitisha vibali hivyo juzi wakati wa...