MAENDELEO YA UJENZI WA VITUO VYA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA MIPAKANI (ONE STOP BORDER POSTS)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VEZbFhYYLjI/U0ylYiqyA1I/AAAAAAAFayk/KW_QF3ehC7I/s72-c/1366839766Rusumo.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Vedastina Justinian akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu Mradi wa Vituo vya Utoaji Huduma kwa Pamoja Mipakani (One Stop Border Posts) unaolenga kurahisisha taratibu za forodha, uhamiaji, usimamizi wa ubora wa bidhaa, ulinzi na usalama. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Miundombinu ya Kiuchumi Mhandisi Abdillah Mataka na kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarAfrica.Com28 Nov
TIME TO MAKE ONE STOP BORDER POSTS A REALITY
StarAfrica.com
ARUSHA, Tanzania, 26 November 2015 / PRN Africa / — Citizens of the region are set to benefit a great deal through facilities offered by the One Stop Border Posts (OSBPs) in the EAC Partner States. Already where the facilities are running bilaterally ...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Wizara yaanza ujenzi vituo mipakani
WIZARA ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kukamilisha utekelezaji wa ujenzi wa vituo vya utoaji huduma kwa pamoja mipakani vikavyosaidia kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa urasimu uliokuwepo. Akizungumza na...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
TPSF: Urasimu utoaji vibali vya ujenzi kikwazo cha maendeleo
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), imesema Tanzania haiwezi kuendelea kukwamishwa na urasimu wa utoaji wa vibali vya ujenzi ambavyo vinarudisha nyuma juhudi za kujenga mazingira bora ya kufanya biashara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eu1dUdx42vY/Xp8HHZZkR2I/AAAAAAALnu8/f8t9RDb8SW4h1kxdXLQi6fnufczPaHrhQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200420_141947_7.jpg)
B0DI YA AFYA YARIDHISHWA NA UJENZI WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--vx4e5CLgws/VldHQLiERvI/AAAAAAAIIhU/o6d1Dx1w39Y/s72-c/9ad8dd8a-2a20-42e3-8ee6-d72b835f9b48.jpg)
TIME TO MAKE ONE STOP BORDER POSTS A REALITY: Traders enjoying facilities, but Partner States challenged to operationalise regional law once in effect
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s72-c/261.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar akutana na ujumbe Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi katika miundombinu ya ujenzi, usarifu wa Miji, Majengo ya Kisasa pamoja na Vituo vya Kimataifa vya Biashara { ECG } ya Nchini Misri
![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s640/261.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MfGNEyT6AMc/VbyZNb28knI/AAAAAAAHs_Y/hYsB-nlBxRU/s640/267.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s72-c/d1.jpg)
updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s1600/d1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gIQ3MA0PI-w/U0FqOuDIUfI/AAAAAAAFY1o/eaX0wDcKz0Y/s1600/d2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoPzw9rFbeE/U0FqTTKOpmI/AAAAAAAFY1w/GdzKMQQ_rEU/s1600/d3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cD4694Q5WXU/U0FqVj3ShpI/AAAAAAAFY14/TiHF3wesqD4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FC97P5wsUvI/U0FqXJLd0EI/AAAAAAAFY2A/cs0ygwxzszg/s1600/d5.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4457.jpg)
BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_4457.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.
Benki ya NMB na kampuni ya Savings...