Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara yaanza ujenzi vituo mipakani

WIZARA ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kukamilisha utekelezaji wa ujenzi wa vituo vya utoaji huduma kwa pamoja mipakani vikavyosaidia kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa urasimu uliokuwepo. Akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAENDELEO YA UJENZI WA VITUO VYA UTOAJI HUDUMA KWA PAMOJA MIPAKANI (ONE STOP BORDER POSTS)


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Vedastina Justinian akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu Mradi wa Vituo vya Utoaji Huduma kwa Pamoja Mipakani (One Stop Border Posts) unaolenga kurahisisha taratibu za forodha, uhamiaji, usimamizi wa ubora wa bidhaa, ulinzi na usalama. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Miundombinu ya Kiuchumi Mhandisi Abdillah Mataka na kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara yafungua vituo vya NACTE mikoani

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) imefungua ofisi tano za kanda ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara kuongeza ufanisi...

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka busara ujenzi vituo vya afya mijini

Anna Makange,Tanga RAIS Jakaya Kikwete ameutaka uongozi wa halmashauri ya jiji la Tanga kuweka mpango bora wa ujenzi wa vituo vya afya kwa kuziunganisha kata huku wakizingatia idadi ya watu waliopo kwenye eneo husika.

 

11 years ago

Michuzi

WARSHA YA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELEO, MIUNDO MBINU NA VITUO VYA MAJI YAANZA RASMI LEO JIJINI DAR

Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Mh. Kaika Saning’o Telele akizungumza wakati akifungua warsha ya kimataifa inayojadili maswala ya Maendeleo, Miundombinu na Vituo vya maji,katika hoteli ya Bahari Beach,jijini Dar es Salaam.Warsha hiyo ya kimataifa ambayo inawakutanisha wanataaluma mbalimbali itafanyika kwa siku mbili huku mada nyingi zikitegemewa kuwasilishwa.Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji Eng. Bashir Mrindoko, anayefuatia aliyevaa miwani ni Katibu Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

B0DI YA AFYA YARIDHISHWA NA UJENZI WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA

NA YEREMIAS  NGERANGERA….NAMTUMBO. Bodi ya afya katika Halmashuri ya wilaya ya  Namtumbo mkoani Ruvuma imeridhishwa na ujenzi wa majengo ya kutolea huduma za afya  katika Halmashauri hiyo. Akiogea wakati wa majumuisho ya ziara ya kukagua ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za afya  mjumbe wa bodi ambaye pia ni diwani wa kata ya Magazini bwana Saidi Ligulu alisema bodi ya afya  ya wilaya imeridhishwa na ujenzi  wa vituo vya kutolea huduma za afya zilizokaguliwa na bodi hiyo. Aidha bwana...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Elimu yaanza vizuri Shimiwi

>Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imeanza kutimua vumbi kwa kwa michezo ya ufunguzi, huku timu ya soka ya Wizara ya Elimu ikishindwa kuitambia Ras Arusha kwa kulazimisha suluhu katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

 

5 years ago

Michuzi

CHINA YAANZA UJENZI UWANJA WA MPIRA UTAKAOGHARIMU DOLA BILIONI 1.7


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI vizuizi vikipungua nchini China ikiwa ni sehemu ya kupambana na virusi vya Corona (Covid -19)  klabu moja ya mpira wa miguu nchini humo imeeleza nia yake ya kurudisha mambo katika hali ya kawaida.
Klabu ya Guangzhou Evergrande imetangaza kuanza kazi ya kujenga uwanja wa mpira utakaobeba watazamaji  100,000, na utakua uwanja mkubwa zaidi ulimwenguni.
Imeelezwa kuwa uwanja huo umejengwa katika umbo la ya aina ya lotus  utagharimu dola za kimarekani...

 

10 years ago

CloudsFM

Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya

Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.

Msanii huyo aliandika kuwa madawa ya kulevya yalimpa hasara kubwa ikiwemo kuuza nyumba yake ya zamani ambayo ilikuwa imeisha kabisa lakini sasa anamshukuru Mungu anatimiza ndoto yake ya kuanza ujenzi wa nyumba nyingine mpya.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...

 

5 years ago

Michuzi

TFF YAUNDA KAMATI MPYA YA KUSIMAMIA MIRADI UJENZI VITUO VYA MICHEZO KIGAMBONI NA TANGA

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi ili kusimamia utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa vituo vya michezo vya Kigamboni, Dar es Salaam na Tanga. 
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani