Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya
Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Feb
Ray C na 2015: Ni ujenzi wa mjengo mpya na tour mikoa 25
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4qgoGBsD8aPVFxsu8neGP1GU7hmhmBc-FrsA6-UqDNs8g*cY8xtQYu9cDpvnrjE58Bve0H32zbvL-XUXNqoJ9u0/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
RAY AMPANGIA CHUCHU MJENGO MPYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgV*wKRk1RcCkRkEZSP7Cb4T0jmuZ*7rFnLwQq0694ES18FFDyru7BclaC4*xiVdxJ8rHpRZQ8pqldR89TLDH-x/Davido2.jpg)
DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0FgnF_211YY/VZuSg8FOdCI/AAAAAAAHngM/YACauso28VM/s72-c/MMGL0614.jpg)
MAMBO YAANZA KUWA MSWANO UKUMBI MPYA WA CCM MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0FgnF_211YY/VZuSg8FOdCI/AAAAAAAHngM/YACauso28VM/s640/MMGL0614.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kuIWNv0lR8I/VZuSB3jmYFI/AAAAAAAHnes/9kJxiefW5-o/s640/MMGL0552.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vRGXJJ8NdcA/VZuSCN4V3UI/AAAAAAAHnew/jJJTl3H37v0/s640/MMGL0550.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dPtiAxQVkyU/VZuSfepFlRI/AAAAAAAHngA/cAQN4fRLUEg/s640/MMGL0607.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3FdJrAuZ5Jw/VZuSOLUOm9I/AAAAAAAHnfM/6EWX5uPcGe4/s640/MMGL0582.jpg)
9 years ago
Bongo515 Dec
Ujenzi wa mjengo wa Jux wakwama
![Maponda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Maponda--300x194.jpg)
Mkali wa ‘One More Night’ Jux ameeleza sababu ya kukwama kuendelea kwa ujenzi wa mjengo wake wa kifahari ambao miezi kadhaa aliuonesha kwenye mitandao ya kijamii.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa kwa sasa amesimama kidogo kuendeleza mjengo wake na kuwekeza pesa katika kufanya muziki ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya video zenye ubora.
“Unajua kwa sasa kidogo nimesimama kuendeleza nyumba hivyo, ipo siku watu watakuja kuona mjengo ukiwa...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Samsung yazindua simu mpya ya Galaxy S5 ikilenga mambo muhimu ya wateja wake
Meneja wa Simu za mkononi wa Samsung Tanzania , Bw. Silvester Manyara, akiwaonyesha waandishi wa habari jinsi simu mpya inavyopima mapigo yake ya moyo. Pembeni yake ni Bw. Kishor Kumar, Meneja wa kitengo cha simu na mambo ya teknohama wa Samsung Tanzania.
Team ya Samsung Tanznia Bw. Silvester Manyara, Bw. Jang na Bw. Kishor Kumar kwenye picha ya pamoja wakionyesha Simu mpya ya Galaxy S% iliyozinduliwa rasmi hapa Dar es Salaam.
Waandishi wa habari pamoja na wateja wakishuhudia uzinduzi wa...
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.
Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.
Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.