Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY AMPANGIA CHUCHU MJENGO MPYA

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata Madai mazito! Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kuonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kumpangia mwandani wake, Chuchu Hans mjengo mpya wenye hadhi. Mjengo unaodaiwa kupangishiwa Chuchu Hans. Ubuyu kutoka kwa mtu wa karibu wa mastaa hao ulinyetisha kuwa Ray alifikia hatua hiyo baada ya mkataba wa nyumba aliyopangishiwa Chuchu awali maeneo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Ray C na 2015: Ni ujenzi wa mjengo mpya na tour mikoa 25

Rehema Chalamila aka Ray C amedai kuwa hali ya kifedha inamwendea vyema baada ya kuanza utaratibu wa ujenzi wa nyumba yake mpya maeneo ya Bunju jijini Dar es Salaam. Akiongea na Bongo5 Jumatano hii, Ray C amesema huu ni wakati wake wa kuanza kurudisha kila alichopoteza ikiwa pamoja na kurudi kwenye maisha ya familia kama […]

 

10 years ago

CloudsFM

Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya

Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.

Msanii huyo aliandika kuwa madawa ya kulevya yalimpa hasara kubwa ikiwemo kuuza nyumba yake ya zamani ambayo ilikuwa imeisha kabisa lakini sasa anamshukuru Mungu anatimiza ndoto yake ya kuanza ujenzi wa nyumba nyingine mpya.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...

 

10 years ago

Bongo Movies

HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka

Inasemekana penzi kati ya waigizaji  Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.

Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.

Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU: HAPA RAY KAFIKA!

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
Mahaba mahabani! Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa staa mwenzake ambaye ni mwandani wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefika kwenye penzi lake ndiyo maana ametulia kwani amepata ‘malovee’ aliyokuwa akiyatafuta siku zote. Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans (katikati) akiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar. Chuchu alitoa kauli hiyo kwenye...

 

9 years ago

Bongo Movies

Penzi la Ray, Chuchu… Chali

DAH! Imebuma! Lile penzi lililoziba masikio ya wengi kati ya waigizaji wakubwa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans linadaiwa kuanguka chali kufuatia mume wa mwanamke huyo kutua nchini kimyakimya na hivyo kuwa wigo wa wawili hao kukutana kama zamani.

Kwa mujibu wa rafiki wa karibu zaidi na Chuchu (jina lipo), ujio wa mwanaume huyo umemfanya Chuchu kuwa mbali na Ray hivyo penzi lao kuparaganyika.

“Yaani ngoma ilikuwa nzito. Ndiyo maana siku hizi Ray na Chuchu hawako beneti. Hata...

 

10 years ago

GPL

RAY: CHUCHU SI MPITA NJIA

Imelda Mtema
NYOTA mkubwa katika Bongo Movies,Vincet Kigosi ‘Ray’ ameweka wazi kuwa Chuchu Hans, ambaye ni mpenzi wake wa muda mrefu, si mpita njia, bali ni mwanamke anayesubiri ndoa kwa kuwa ana sifa zote za kuwa mke. Nyota mkubwa katika Bongo Movies,Vincet Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans . Kwa sababu hiyo, alisema siyo jambo zuri kufikiri kila anapotoka katika mitoko yake ya usiku awe...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU ARINGISHIA PENZI LA RAY

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amedhihirisha kwamba ana mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa kulinadi jina lake hadharani kwa kuvaa t-shirt iliyoandikwa; ‘Ray Kigosi’. Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans akiringisha chata la msanii Mwenzake, 'Ray'. Tukio hilo lilichukua nafasi wikiendi iliyopita kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

RAY AFICHUA SIRI YA CHUCHU!

Imelda Mtema, Zanzibar Muigizaji mahiri wa kiume hapa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’amefichua siri iliyomfanya kunasa kwa staa mwenzake Chuchu Hans, na hata kupata msukumo wa kumuweka hadharani tofauti na tabia yake ya nyuma ya kutopenda kumuanika mpenzi wake. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1KxtMp7

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani