Ray C na 2015: Ni ujenzi wa mjengo mpya na tour mikoa 25
Rehema Chalamila aka Ray C amedai kuwa hali ya kifedha inamwendea vyema baada ya kuanza utaratibu wa ujenzi wa nyumba yake mpya maeneo ya Bunju jijini Dar es Salaam. Akiongea na Bongo5 Jumatano hii, Ray C amesema huu ni wakati wake wa kuanza kurudisha kila alichopoteza ikiwa pamoja na kurudi kwenye maisha ya familia kama […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya
Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4qgoGBsD8aPVFxsu8neGP1GU7hmhmBc-FrsA6-UqDNs8g*cY8xtQYu9cDpvnrjE58Bve0H32zbvL-XUXNqoJ9u0/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
RAY AMPANGIA CHUCHU MJENGO MPYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
9 years ago
Bongo515 Dec
Ujenzi wa mjengo wa Jux wakwama
![Maponda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Maponda--300x194.jpg)
Mkali wa ‘One More Night’ Jux ameeleza sababu ya kukwama kuendelea kwa ujenzi wa mjengo wake wa kifahari ambao miezi kadhaa aliuonesha kwenye mitandao ya kijamii.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa kwa sasa amesimama kidogo kuendeleza mjengo wake na kuwekeza pesa katika kufanya muziki ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya video zenye ubora.
“Unajua kwa sasa kidogo nimesimama kuendeleza nyumba hivyo, ipo siku watu watakuja kuona mjengo ukiwa...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mjengo Mpya wa Wema… Utata!
Muonekano wa mjengo huo.
Stori: Na Musa Mateja
UTATA umegubika kuhusu umiliki wa mjengo aliohamia staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ambapo maswali yanayowasumbua wengi ni je, ameingia kwa kupanga au ameununua? Amani linakwenda sambamba na msomaji.
TUANZIE HAPA
Hivi karibuni, Wema aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga iliyopo Kijitonyama ya Makumbusho jijini Dar, alidaiwa kutimuliwa na mwenye nyumba baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgV*wKRk1RcCkRkEZSP7Cb4T0jmuZ*7rFnLwQq0694ES18FFDyru7BclaC4*xiVdxJ8rHpRZQ8pqldR89TLDH-x/Davido2.jpg)
DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA
9 years ago
Bongo512 Sep
Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa