Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C na 2015: Ni ujenzi wa mjengo mpya na tour mikoa 25

Rehema Chalamila aka Ray C amedai kuwa hali ya kifedha inamwendea vyema baada ya kuanza utaratibu wa ujenzi wa nyumba yake mpya maeneo ya Bunju jijini Dar es Salaam. Akiongea na Bongo5 Jumatano hii, Ray C amesema huu ni wakati wake wa kuanza kurudisha kila alichopoteza ikiwa pamoja na kurudi kwenye maisha ya familia kama […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya

Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.

Msanii huyo aliandika kuwa madawa ya kulevya yalimpa hasara kubwa ikiwemo kuuza nyumba yake ya zamani ambayo ilikuwa imeisha kabisa lakini sasa anamshukuru Mungu anatimiza ndoto yake ya kuanza ujenzi wa nyumba nyingine mpya.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...

 

9 years ago

GPL

RAY AMPANGIA CHUCHU MJENGO MPYA

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata Madai mazito! Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kuonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kumpangia mwandani wake, Chuchu Hans mjengo mpya wenye hadhi. Mjengo unaodaiwa kupangishiwa Chuchu Hans. Ubuyu kutoka kwa mtu wa karibu wa mastaa hao ulinyetisha kuwa Ray alifikia hatua hiyo baada ya mkataba wa nyumba aliyopangishiwa Chuchu awali maeneo ya...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...

Barabara ya Tunduma-Ikana-Laela hadi Sumbawanga ikiwa imekamilika kwa asilimia mia moja (100%), barabara hii ambayo ni kiungo muhimu cha Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi, Kigoma na Tabora imejegwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Msaada kutoka kwa watu wa Marekani.Waziri wa Wizara ya Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mjini Sumbawanga tarehe 02/02/2015 katika viwanja vya Nelson Mandela akiwa ziarani Mkoani Rukwa kukagua ujenzi unaoendelea wa barabara za lami za...

 

9 years ago

Bongo5

Ujenzi wa mjengo wa Jux wakwama

Maponda

Mkali wa ‘One More Night’ Jux ameeleza sababu ya kukwama kuendelea kwa ujenzi wa mjengo wake wa kifahari ambao miezi kadhaa aliuonesha kwenye mitandao ya kijamii.

12331683_1007956949264144_2112653779_n

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa kwa sasa amesimama kidogo kuendeleza mjengo wake na kuwekeza pesa katika kufanya muziki ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya video zenye ubora.

Maponda

“Unajua kwa sasa kidogo nimesimama kuendeleza nyumba hivyo, ipo siku watu watakuja kuona mjengo ukiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi

PIX 1 (1)

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.

PIX 3 (1)

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...

 

9 years ago

Global Publishers

Mjengo Mpya wa Wema… Utata!

wema (1)Muonekano wa mjengo huo.

Stori: Na Musa Mateja

UTATA umegubika kuhusu umiliki wa mjengo aliohamia staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ambapo maswali yanayowasumbua wengi ni je, ameingia kwa kupanga au ameununua? Amani linakwenda sambamba na msomaji.

wema (2)TUANZIE HAPA

Hivi karibuni, Wema aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga iliyopo Kijitonyama ya Makumbusho jijini Dar, alidaiwa kutimuliwa na mwenye nyumba baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka...

 

10 years ago

GPL

DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA

Davido. STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido ametupia mtandaoni picha ya mjengo wake mpya uliopo huko Atlanta nchini Marekani. Davido ambaye anajiandaa kuachia albamu yake ya pili, alitupia picha hizo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram jana. Staa huyo bado yupo nchini Marekani na kupitia picha hizo aliandika kuwa mtoto wake wa kike atakuwa na chumba chake kikubwa ndani ya… ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani

P-Square wameonesha mjengo wao mpya uliopo, Buckhead, Atlanta nchini Marekani. Hiyo ni nyumba yao ya tatu ya kifahari iliyopo nchini humo. “More blessings condo number 3, new home,big things instillation time,” wameandika kwenye ukurasa wao wa Facebook. “New landlords in Atlanta buckhead more blessing ….. Only God can do this,” wameandika kwenye picha nyingine. “We […]

 

10 years ago

Bongo5

Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa

Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu. Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake: “Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani