Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjengo Mpya wa Wema… Utata!

wema (1)Muonekano wa mjengo huo.

Stori: Na Musa Mateja

UTATA umegubika kuhusu umiliki wa mjengo aliohamia staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ambapo maswali yanayowasumbua wengi ni je, ameingia kwa kupanga au ameununua? Amani linakwenda sambamba na msomaji.

wema (2)TUANZIE HAPA

Hivi karibuni, Wema aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga iliyopo Kijitonyama ya Makumbusho jijini Dar, alidaiwa kutimuliwa na mwenye nyumba baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

RAY AMPANGIA CHUCHU MJENGO MPYA

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata Madai mazito! Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kuonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kumpangia mwandani wake, Chuchu Hans mjengo mpya wenye hadhi. Mjengo unaodaiwa kupangishiwa Chuchu Hans. Ubuyu kutoka kwa mtu wa karibu wa mastaa hao ulinyetisha kuwa Ray alifikia hatua hiyo baada ya mkataba wa nyumba aliyopangishiwa Chuchu awali maeneo ya...

 

10 years ago

GPL

DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA

Davido. STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido ametupia mtandaoni picha ya mjengo wake mpya uliopo huko Atlanta nchini Marekani. Davido ambaye anajiandaa kuachia albamu yake ya pili, alitupia picha hizo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram jana. Staa huyo bado yupo nchini Marekani na kupitia picha hizo aliandika kuwa mtoto wake wa kike atakuwa na chumba chake kikubwa ndani ya… ...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C na 2015: Ni ujenzi wa mjengo mpya na tour mikoa 25

Rehema Chalamila aka Ray C amedai kuwa hali ya kifedha inamwendea vyema baada ya kuanza utaratibu wa ujenzi wa nyumba yake mpya maeneo ya Bunju jijini Dar es Salaam. Akiongea na Bongo5 Jumatano hii, Ray C amesema huu ni wakati wake wa kuanza kurudisha kila alichopoteza ikiwa pamoja na kurudi kwenye maisha ya familia kama […]

 

10 years ago

CloudsFM

Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya

Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.

Msanii huyo aliandika kuwa madawa ya kulevya yalimpa hasara kubwa ikiwemo kuuza nyumba yake ya zamani ambayo ilikuwa imeisha kabisa lakini sasa anamshukuru Mungu anatimiza ndoto yake ya kuanza ujenzi wa nyumba nyingine mpya.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani

P-Square wameonesha mjengo wao mpya uliopo, Buckhead, Atlanta nchini Marekani. Hiyo ni nyumba yao ya tatu ya kifahari iliyopo nchini humo. “More blessings condo number 3, new home,big things instillation time,” wameandika kwenye ukurasa wao wa Facebook. “New landlords in Atlanta buckhead more blessing ….. Only God can do this,” wameandika kwenye picha nyingine. “We […]

 

10 years ago

Bongo5

Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa

Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu. Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake: “Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles

Jay Z na Beyonce wamepata mjengo mpya wa kifahari jijini Los Angeles watakaopanga baada ya ule wa mwanzo kuuzwa. Mtandao wa TMZ umedai kuwa nyumba hiyo ina thamani ya dola milioni 45 na ipo kwenye maeneo ya Holmby Hills jijini humo. Watakuwa wakilipa dola 150,000 kwa mwezi na watalipia kodi ya mwaka mzima. Hizi ni […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata mpya

UTATA umeibuka kuhusu ni lini hasa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alipoteza fahamu alipok

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

UTATA MPYA MTOTO WA DIAMOND

MUSA MATEJA Utata mpya umeibuka wakati mama kijacho wa staa wa Bongo Fleva,  Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’,  akitarajiwa kujifungua muda wowote kutoka sasa, ishu ni juu ya uraia wa mtoto atakayezaliwa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JkKOp8

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani