Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara ya Elimu yaanza vizuri Shimiwi

>Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imeanza kutimua vumbi kwa kwa michezo ya ufunguzi, huku timu ya soka ya Wizara ya Elimu ikishindwa kuitambia Ras Arusha kwa kulazimisha suluhu katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TIMU YA WIZARA YA AFYA YAANZA MAZOEZI YA MAANDALIZI YA MASHINDANO YA SHIMIWI KATIKA UWANJA WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI DAR ES SALAAM

 Kocha wa timu ya Wizara ya Afya na  Ustawi wa Jamii, Ally Lidengi, akitoa maelekezo kwa wachezaji wa mchezo wa kamba  wakati wa Maandalizi ya Mashindano ya Shimiwi katika uwanja wa Taifa Muhimbili Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza 15 Septembar 2015  Jijini Morogoro.
Kocha wa timu ya Wizara ya Afya na  Ustawi wa Jamii, Ally Lidengi, akitoa maelekezo kwa wachezaji hao wakati wa Maandalizi ya Mashindano ya Shimiwi katika uwanja wa Taifa Muhimbili Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza 15...

 

10 years ago

BBCSwahili

Everton yaanza vizuri Europa

Michuano ya EUROPA maarufu kama UEFA ndogo ilichezwa usiku wa alhamis ambapo Everton ya England ilialinza kwa kuisambaratisha Wolfsburg 4 - 1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ragga:Australia yaanza vizuri

Katika michuano ya kombe la Dunia kwa upande wa ragga,timu ya Australia imeshinda mchezo wa kwanza kwa kuifunga Fiji 28-13

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yaanza vizuri CHAN

Timu ya Taifa ya Uganda The Cranes ambayo ni miongoni mwa kutoka Afrika Mashariki jumapili iliwafurahisha mashabiki wake baada ya kuishikisha adabu Burkina Faso kwa jumla ya magoli 2 -1.

 

10 years ago

GPL

MAN CITY YAANZA VIZURI PREMIERSHIP

Kiungo wa Manchester City, David Silva akiifungia timu yake bao la kwanza katika dakika ya 39. Patashika wakati wa mtanange huo.…

 

10 years ago

Michuzi

TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ZAONGOZA UVUTAJI WA KAMBA SHIMIWI MOROGORO

Timu ya wavutaji kamba wanaume ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo pichani) Wizara ya Ujenzi wakati walipokuwa wanashindana katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo. Timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani iliibuka mshindi kwa pointi moja. Timu ya wavutaji kamba wanawake ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo pichani) Wizara ya Afya wakati walipokuwa wanashindana katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo. Timu ya Wizara ya...

 

10 years ago

GPL

TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ZAONGOZA UVUTAJI WA KAMBA SHIMIWI MOROGORO

Timu ya wavutaji kamba wanaume ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo pichani) Wizara ya Ujenzi wakati walipokuwa wanashindana katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro jana. Timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani iliibuka mshindi kwa pointi moja. Timu ya wavutaji kamba wanawake ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani