MAGUFULI CUP: Abajalo yaanza vizuri mechi ya ufunguzi
![](http://img.youtube.com/vi/mmHs-1OFrgw/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAGUFULI CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO YAANZA KWA USHINDI
Magoli yote mawili ya Abajalo yamefungwa na Lameck Daiton, goli la kwanza limefungwa dakika ya tisa wakati goli la pili limefungwa dakika ya 11 kwa mkwaju wa penati baada ya Muhsin Said kuangushwa kwenye eneo la hatari wakati akielekea...
10 years ago
Michuzi24 Nov
ABAJALO YAINGIA FAINALI DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP KWA KISHINDO
Timu ya Abajalo ya Sinza jijini Dar es Salaam imefanikiwa kukata tiketi ya fainali ya Dr Mwaka Sports Xtra NDONDO CUP 2014 baada ya kuifunga Burudani FC ya Temeke mikoroshini mabao 3-1. Mabao ya Abajalo kwenye mchezo huo yalifungwa na Idd Kulachi ‘Kleberson’ aliyefunga mabao mawili kati ya matatu. Mchezo huo wa nusu fainali ya pili ulipigwa kwenye uwanja Bandari uliopo maeneo ya Tandika Mwembe Yanga. Kwa ushindi huo sasa Abajalo itacheza na Tabata FC kwenye fainali itakayopigwa siku ya...
10 years ago
Michuzi12 Jul
SPORTS XTRA NDONDO CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO, FC KAUZU MUZIKI WAO..OGOPA SANA!
![3](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/37.jpg)
Msimu wa pili wa mashindano ya Sports Xtra Ndondo Cup chini ya udhamini wa Dr. Mwaka, Daktari bingwa wa masuala ya Afya ya uzazi na Tiba asilia kutoka kituo cha Foreplan Clinic, kilichopo Bungoni, Ilala, Dar es salaam umezinduliwa rasmi katika uwanja wa Bandari, Tandika, jijini Dar es salaam.
Mechi ya ufunguzi yenye mvuto wa aina yake imepigwa jana ikiwakutanisha mabingwa watetezi, Abajalo FC ya Sinza Dar es...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Abajalo yaing’oa Zakhem Kombe la Magufuli Taswa
TIMU ya soka ya Abajalo imefanikiwa kukata tiketi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli kwa kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Zakhem kwenye mechi mbili walizocheza kwa mtindo nyumbani na ugenini.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CtCS-jIqNOQ/U5n_chAmMcI/AAAAAAAFqME/_gXgCgZF1Rs/s72-c/Brazil-vs-Croatia-FIFA-World-Cup-2014-Live-Stream-1024x640.jpg)
ANGALIA MECHI YA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA LIVE MTANDAONI!
![](http://3.bp.blogspot.com/-CtCS-jIqNOQ/U5n_chAmMcI/AAAAAAAFqME/_gXgCgZF1Rs/s1600/Brazil-vs-Croatia-FIFA-World-Cup-2014-Live-Stream-1024x640.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Everton yaanza vizuri Europa
Michuano ya EUROPA maarufu kama UEFA ndogo ilichezwa usiku wa alhamis ambapo Everton ya England ilialinza kwa kuisambaratisha Wolfsburg 4 - 1.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Uganda yaanza vizuri CHAN
Timu ya Taifa ya Uganda The Cranes ambayo ni miongoni mwa kutoka Afrika Mashariki jumapili iliwafurahisha mashabiki wake baada ya kuishikisha adabu Burkina Faso kwa jumla ya magoli 2 -1.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ragga:Australia yaanza vizuri
Katika michuano ya kombe la Dunia kwa upande wa ragga,timu ya Australia imeshinda mchezo wa kwanza kwa kuifunga Fiji 28-13
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania