Abajalo yaing’oa Zakhem Kombe la Magufuli Taswa
TIMU ya soka ya Abajalo imefanikiwa kukata tiketi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli kwa kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Zakhem kwenye mechi mbili walizocheza kwa mtindo nyumbani na ugenini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mmHs-1OFrgw/default.jpg)
9 years ago
MichuziMAGUFULI CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO YAANZA KWA USHINDI
Magoli yote mawili ya Abajalo yamefungwa na Lameck Daiton, goli la kwanza limefungwa dakika ya tisa wakati goli la pili limefungwa dakika ya 11 kwa mkwaju wa penati baada ya Muhsin Said kuangushwa kwenye eneo la hatari wakati akielekea...
9 years ago
Habarileo01 Nov
TASWA yampongeza Magufuli, wanamichezo
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA), kimempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Tanzania. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Taswa, Juma Pinto ilieleza kuwa chama hicho kina imani kubwa na Dk Magufuli na kumuahidi ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu yake.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s72-c/JUMA%2BPINTO.jpg)
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) champongeza Dkt John Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s640/JUMA%2BPINTO.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Oct
TPB SUPPORTS TASWA FC, TASWA QUEENS
![Meneja Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Noves Moses akikabidhi jezi za mpira wa miguu zenye thamani ya sh. 1,800,000/= kwa Mwenyekiti wa TASWA SC Majuto Omary.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0422.jpg)
TANZANIA Sports Writers Association Sports Club (TASWA SC) received sports gears worth Tzs 1,800,000/= from Tanzania Postal Bank (TPB). Chief Manager, Corporate Affairs of the bank Noves Moses said her bank has decided to support the team as a gesture for active recreation activity besides reporting. Noves said...