Tanesco kupunguza gharama za mafunzo
Shirika la Umeme nchini (Tanesco), limesema huenda likapunguza gharama za uendeshaji wa mafunzo nje ya nchini kwa wafanyakazi wake, baada ya kubaini baadhi ya mafunzo waliyokuwa wakiyapata nje ya nchi yanatolewa nchini na Taasisi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kutoka Mamlaka ya Mafunzi ya Ufundi Stadi (Veta -Kipawa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
NHC watakiwa kupunguza gharama
SERIKALI imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kubuni njia bora ya kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba zake kwa kuacha kumalizia nyumba kwa asilimia 100, badala yake mteja amalizie.
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
GPSA kupunguza gharama za ununuzi wa taasisi za umma
WAKALA wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) ni taasisi ya serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria ya Wakala za Serikali Na. 30 ya mwaka 1997, kupitia katika agizo la uanzishwaji...
9 years ago
StarTV03 Dec
TCRA kuiomba serikali kupunguza gharama za ving’amuzi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inatarajia kuiomba serikali kupunguza gharama za vinga’muzi ili kuwawezesha wananchi wengi kuona matangazo ya vituo vya luninga nchini.
TCRA inatarajia kufanya hivyo baada ya mkutano wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), unaoendelea Dar es Salaam kubadilishana uzoefu wa kuhamia mfumo wa dijitali kutoka analojia.
Wajumbe kutoka nchi mbalimbali za SADC, wakiwa katika mkutano wa siku mbili kubadilishana uzoefu wa kuhamia dijitali...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mnyika kuivaa Tanesco gharama za umeme
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Kuna umuhimu wa Serikali kupunguza gharama za kufanya biashara nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjjke11COdo/XkWGfaDhM9I/AAAAAAABKc0/4cQB69w_HGU5muWYZsilKoaNcGtKt56uwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0102.jpg)
MKANDARASI UJENZI WA MRADI WA MAJI MKURANGA ATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amewaagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukaa chini na mkandarasi anayejenga mradi wa maji Mkuranga kupunguza gharama za ujenzi
Hayo yamesemwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maji katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo pia ameambatana na Mbunge wa Jimbo hilo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega pamoja na wataalamu wa maji.
Mbarawa amesema, Dawasa wakae...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200214-WA0083.jpg)
MAMLAKA ZA MAJI ZITUMIE WATAALAMU KUTOKA NDANI ILI KUPUNGUZA GHARAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200214-WA0083.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMamlaka za maji nchini zimetakiwa kuanza kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema sasa hivi mamlaka zote zinatakiwa zianze kutumia wataalamu kutoka ndani ili zipunguze gharama za ujenzi.
Amesema hayo...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Ewura yaiagiza Tanesco kupunguza bei ya umeme
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Maswi: Serikali haina mpango wa kupunguza wafanyakazi Tanesco