Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GPSA kupunguza gharama za ununuzi wa taasisi za umma

WAKALA wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) ni taasisi ya serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria ya Wakala za Serikali Na.  30 ya mwaka 1997, kupitia katika agizo la uanzishwaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZIELEKEZA TAASISI ZA UMMA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MWAKA 2020 KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA WADAU

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akitoa maelekezo ya namna ya kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2020 mapema leo, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb).

***********************************

Na: James Mwanamyoto – Dodoma

Tarehe 14 Juni, 2020

Taasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametoboa madudu aliyoyaona kipindi kifupi alichokaa kwenye ofisi hiyo baada ya kuapisha hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco kupunguza gharama za mafunzo

Shirika la Umeme nchini (Tanesco), limesema huenda likapunguza gharama za uendeshaji wa mafunzo nje ya nchini kwa wafanyakazi wake, baada ya kubaini baadhi ya mafunzo waliyokuwa wakiyapata nje ya nchi yanatolewa nchini na Taasisi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kutoka Mamlaka ya Mafunzi ya Ufundi Stadi (Veta -Kipawa).

 

9 years ago

Habarileo

NHC watakiwa kupunguza gharama

SERIKALI imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kubuni njia bora ya kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba zake kwa kuacha kumalizia nyumba kwa asilimia 100, badala yake mteja amalizie.

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akifungua mkutano wa wadau kuhusu Mikataba ya Utendaji Kazi katika Taasisi za Umma katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Mkutano huo uliandaliwa mahsusi ili wadau waweze kufahamu mambo muhimu juu ya Mfumo wa Mikataba ya Utendaji Kazi hususan chimbuko, maana na faida zake, mambo ya msingi yatakayofanikisha utekelezaji wa mfumo huo, fomu ya mkataba wa utendaji kazi na vipengele vyake, vigezo vya upimaji...

 

9 years ago

StarTV

TCRA kuiomba serikali kupunguza gharama za ving’amuzi

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inatarajia kuiomba serikali kupunguza gharama za vinga’muzi ili kuwawezesha wananchi wengi kuona matangazo ya vituo vya luninga nchini.

TCRA inatarajia kufanya hivyo baada ya mkutano wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), unaoendelea Dar es Salaam kubadilishana uzoefu wa kuhamia mfumo wa dijitali kutoka analojia.

Wajumbe kutoka nchi mbalimbali za SADC, wakiwa katika mkutano wa siku mbili kubadilishana uzoefu wa kuhamia dijitali...

 

10 years ago

Michuzi

PPRA YAIKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA

mi1Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) (kushoto) akikabidhi tuzo ya utendaji uliotukuka katika eneo la ununuzi wa umma kwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Samson Akyoo (kulia) katika Maadhimisho ya  miaka 10 ya PPRA yaliyofanyika ukumbi wa Diamond Jubilee jana.Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPRA Balozi Martin Lumbanga (wa pili kutoka kushoto) na Mtendaji Mkuu Mstaafu wa PPRA Dkt. Ramadhani Mlinga (wa pili...

 

10 years ago

Vijimambo

PPRA YAKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA

Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Samson Akyoo (wa tatu kutoka kulia) akionyesha tuzo ya utendaji uliotukuka katika eneo la ununuzi wa umma kwa watumishi wa ofisi yake.Tuzo hiyo alikabidhiwa na PPRA katika Maadhimisho ya miaka 10 ya PPRA yaliyofanyika ukumbi wa Diamond Jubilee jana. Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) (kushoto) akikabidhi tuzo ya utendaji uliotukuka katika eneo la ununuzi wa umma kwa Mkurugenzi wa Kitengo cha...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI 13 ZILIZOKAGULIWA NA PPRA ZAGUNDULIKA KUWA NA VIASHIRIA VYA RUSHWA KATIKA UNUNUZI

 Mwenyekiti wa Mamlaka  ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Dk. Martern Lumbanga (kushoto), akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu matokeo ya ukaguzi wa shughuli za ununuzi katika taasisi za umma uliofanywa na PPRA kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30 mwaka huu. Kulia ni Mjumbe wa Bodi ya PPRA, Jaji mstaafu, Thomas Mihayo.
 Mjumbe wa Bodi ya PPRA, Jaji mstaafu, Thomas Mihayo akizungumza katika mkutano huo.  Wajumbe wa Bodi wakiwa kwenye mkutano huo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani