Kuna umuhimu wa Serikali kupunguza gharama za kufanya biashara nchini
Taasisi mbalimbali katika sekta binafsi nchini Tanzania zimekuwa zikilalamika kuwa mazingira ya biashara si rafiki kutokana na kuwapo kwa sheria zinazokwamisha biashara, ajira na uendeshaji wa ujasiriamali. Waajiri wanataka sehemu kubwa ya sheria za kazi kuangaliwa upya ili ziendane na mahitaji halisi ya biashara kwa sasa
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Dec
TCRA kuiomba serikali kupunguza gharama za ving’amuzi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inatarajia kuiomba serikali kupunguza gharama za vinga’muzi ili kuwawezesha wananchi wengi kuona matangazo ya vituo vya luninga nchini.
TCRA inatarajia kufanya hivyo baada ya mkutano wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), unaoendelea Dar es Salaam kubadilishana uzoefu wa kuhamia mfumo wa dijitali kutoka analojia.
Wajumbe kutoka nchi mbalimbali za SADC, wakiwa katika mkutano wa siku mbili kubadilishana uzoefu wa kuhamia dijitali...
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Kuna umuhimu wa mgawanyo wa madaraka
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco kupunguza gharama za mafunzo
9 years ago
Habarileo01 Jan
NHC watakiwa kupunguza gharama
SERIKALI imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kubuni njia bora ya kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba zake kwa kuacha kumalizia nyumba kwa asilimia 100, badala yake mteja amalizie.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMiQgKPyCedwa*44ERGLabV8-YsikUnNIaMIm0L*1MG0liCYf0vRL8MreV08MK2lse3caBtEA0glAy442AgCGsh/mahaba.gif?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-nKoOnS7*RqszZmfJX1a3POuqT7LHuXWXfpN*9pLz9Uioe3WAwnqyi12jJsLY2QOZVbvMGfgLN1-Xq-oXr-Q1L/2.jpg?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCyhSELz2U3IY-lgBcZm-EQWXPqIjYP9vTAlDpOAjn8JM*FmJ5IrzIW5Xy7p8tfCxX9ZfWgZpPdReGfiK6H-AAU3/xxlv.jpg)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
GPSA kupunguza gharama za ununuzi wa taasisi za umma
WAKALA wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) ni taasisi ya serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria ya Wakala za Serikali Na. 30 ya mwaka 1997, kupitia katika agizo la uanzishwaji...