Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuna umuhimu wa mgawanyo wa madaraka

Wiki hii, Rais Jakaya Kikwete alifanya uteuzi wa wakuu wa mikoa wawili, kuziba nafasi za Leonidas Gama aliyekuwa Mkoa wa Kilimanjaro na Stella Manyanya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, ambao wote wameacha kazi na kwenda kugombea ubunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2

“Ndugu mwandishi, nakupongeza kwa mada yako nzuri lakini nasikitika kwamba umeandika kwa kuegemea upande mmoja tu. Ni kweli siyo vizuri kupekua simu ya mwenzi wako lakini je, pale unapopekua na kufuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mwenzi wako, nani mwenye makosa? Wewe uliyepekua au yeye anayekusaliti?” Nimeamua kuanza kwa staili tofauti leo, huo hapo juu ni ujumbe nilioupata kutoka kwa msomaji wangu mmoja baada ya...

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo. Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku.
Karibu tena kwenye zulia la mahaba, mahali tunapojuzana, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu suala zima la mapenzi. Leo ningependa kujadili na wewe msomaji wangu mada hii kama inavyojieleza. Je, kuna umuhimu wa wewe kupekua simu ya mwenzi wako? Unapata faida...

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?

UHALI gani mpenzi msomaji wa safu yetu ya Show the Love. Bila shaka uko vizuri na kama pia ni mgonjwa, nakuombea kwa Mungu akutie nguvu upone haraka.Tukilifungua jamvi letu la leo, kama linavyojinasibu hapo juu katika kichwa cha habari. Mapenzi ni hisia, kuna tafsiri ambayo inasema mtu asipokufuatilia, asipokuchunguza katika mapenzi basi hakupendi. Watu utawasikia wakisema, lazima umfuatilie mpenzi wako ili ujue nyendo zake...

 

9 years ago

Mwananchi

Kuna umuhimu wa Serikali kupunguza gharama za kufanya biashara nchini

Taasisi mbalimbali katika sekta binafsi nchini Tanzania zimekuwa zikilalamika kuwa mazingira ya biashara si rafiki kutokana na kuwapo kwa sheria zinazokwamisha biashara, ajira na uendeshaji wa ujasiriamali. Waajiri wanataka sehemu kubwa ya sheria za kazi kuangaliwa upya ili ziendane na mahitaji halisi ya biashara kwa sasa

 

9 years ago

GPL

DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?

.KWAKO mkali wao katika anga la Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Mambo vipi mzazi jembe? Hongera sana kwa ushindi mnono ulioupata hivi karibuni katika Tuzo za MTV EMA 2015 jijini Milan Italy, umezidi kuliletea taifa letu heshima. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru Mungu naendelea kupambana na kazi zangu kama kawaida ili mkono uende kinywani.Nimekukumbuka leo kwa barua kwani kuna jambo nataka nikushauri....

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA

 
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi (wa pili kushoto) na baadhi ya wajumbe wa Ofisi hiyo. Kushoto ni msajili wa vyama Zanzibar Bw. Rajab Baraka. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Na: Hassan Hamad, OMKR....

 

9 years ago

Bongo5

Kuna umuhimu kwa msanii kuwa na wakala kwenye nchi nyingine — Rich Mavoko

Rich Mavoko amesema kuwa ni muhimu kwa wasanii kuwa na mawakala katika nchi zingine watakaokuwa wakisimamia kazi za wasanii hao kwenye nchi hizo ikiwa ni pamoja na kutafutiwa shows. “Kuna umuhimu kwa wasanii kama sisi Watanzania ambao wengi wao tunaamini kwamba kazi zetu hazifiki mbali, kwahiyo unatakiwa uwe na mtu anafatilia kazi zako,” alisema Mavoko […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula

Nchini Uganda, wanawake wa jamii ya Buganda na huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia watu chakula na wanaposalimia

 

9 years ago

Michuzi

kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi

Na: Hassan Hamad, OMKR.
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani