Bandari ya Tanga sasa kupunguza foleni Dar
>Msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam, unatarajiwa kupungua kwa asilimia nne baada ya Serikali kufanya uamuzi wa kuruhusu uingizaji wa shehena ya mafuta nchini kupitia Bandari ya Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Feb
Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Japan yatoa Sh27 bilioni kusaidia kupunguza foleni Dar
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Roboti kupunguza foleni D’ Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s72-c/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI – KIYEGEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s640/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
Kazi za ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Kiyegeya, Wilaya ya kilosa, mkoani Morogoro zikiendelea. Ujenzi wa barabara hiyo upo katika hatua za mwisho na tayari magari makubwa na madogo yameshaanzakuruhusiwa kupita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/eade9df7-c28a-4e38-aa13-e113b779285b.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SI6pcB6kqUA/XmTcb_fg75I/AAAAAAALh58/8ReXqzeH9p8A7sY_V3T5QnnNVBW3HfxSQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI - KIYEGEYA
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati akisimamia hatua za ujenzi wa barabara hiyo ya mchepuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema hadi sasa zaidi ya malori 60 yameshavuka katika barabara...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hujuma Bandari ya Tanga
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Sakata la foleni, Serikali sasa yanyoosha mikono
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hali ni ngumu Bandari Tanga
10 years ago
Habarileo18 Jun
Mafuta kupita bandari Tanga
SERIKALI imesema inatarajia kuanza kutumia bandari ya Tanga katika kuingiza mafuta ili kupunguza msongamano na ucheleweshwaji wa upakuaji katika bandari ya Dar es Salaam pamoja na kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa nishati hiyo.