Sakata la foleni, Serikali sasa yanyoosha mikono
Serikali imenyoosha mikono ikisema ni shughuli ngumu kumaliza kabisa tatizo la foleni za magari nchini na hasa Dar es Salaam, bali kinachowezekana ni kuzipunguza tu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Taifa Stars yanyoosha mikono kwa Burundi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Burundi, baada ya kulimwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa mjibu Bujumbura....
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Bandari ya Tanga sasa kupunguza foleni Dar
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa
10 years ago
Mtanzania04 Feb
Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Serikali ina dhamira ya kumaliza foleni Dar?
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
WAKATI mama mzazi wa Mtanzania Rashid Mberesero anayetuhumiwa kuwa kati ya wafuasi wa Al-Shabaab walioua wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya akitaka msaada wa Serikali ili akamwone mwanawe huyo, Jeshi la Polisi limesema halina uwezo wa kumsaidia.
Jeshi hilo limesema halina uwezo wa kumsaidia mama huyo, Fatma Ally kutokana na sheria mpya za ugaidi zilizopitishwa nchini Kenya hivi karibuni na kuwekewa pingamizi mahakamani.
Aidha limesema kadi...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM
Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.
Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali yakerwa sakata la Okwi