Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
WAKATI mama mzazi wa Mtanzania Rashid Mberesero anayetuhumiwa kuwa kati ya wafuasi wa Al-Shabaab walioua wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya akitaka msaada wa Serikali ili akamwone mwanawe huyo, Jeshi la Polisi limesema halina uwezo wa kumsaidia.
Jeshi hilo limesema halina uwezo wa kumsaidia mama huyo, Fatma Ally kutokana na sheria mpya za ugaidi zilizopitishwa nchini Kenya hivi karibuni na kuwekewa pingamizi mahakamani.
Aidha limesema kadi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Sakata la foleni, Serikali sasa yanyoosha mikono
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Coastal Union yanawa kwa Boban, Nyosso
KLABU ya Coastal Union ya Tanga, imesema haina mpango wa kuwaongezea mkataba nyota wake Haruna Moshi ‘Boban’ na Juma Nyosso baada ya kwisha kwa mikataba yao ya awali. Ofisa Habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0044.jpg)
KAMPUNI YA PLANET YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIUK8HHZa5I/Xns8xtGqxHI/AAAAAAAAI1g/qNaSBcfMnUE-VlMhoUP4gMI0GIFRc-41ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0044.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akipokea vifaa vya hivyo vya kutakasa mikono kutoka kwa Meneja wa kampuni ya Planet phamasetcal limited,Joseph Lekumok ikiwa ni katika kusaidiana na Serikali kutatua Janga la Ugonjwa wa Covid 19 kwenye ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-uXjAldjPmiU/Xns8tz0aC_I/AAAAAAAAI1c/Xt3cN82pmagIrGs4D-kuqEVL6vnWUFPOACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200325-WA0048.jpg)
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega akiongea na wadau waliofika kutoa msaada wa vifaa vya kukabiliana na Ugonjwa wa Covid 19 ikiwemo Dawa ya kuulia bacteria Maalum ya kunawa mikono kwenye ofisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZgKQIXuGfM/XnuhadWlxOI/AAAAAAALlDM/Xe58Bjk1o3M9k_COTb8rvgLUf-bsKVaywCLcBGAsYHQ/s72-c/79232024-280e-4634-910c-07c082c19b95-768x512.jpg)
SERIKALI YAWAKUTANISHA WAZALISHAJI WA MALIGHAFI ZINAZOTUMIKA KUTENGENEZA VITAKASA MIKONO (HAND SANITIZER) LEO JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZgKQIXuGfM/XnuhadWlxOI/AAAAAAALlDM/Xe58Bjk1o3M9k_COTb8rvgLUf-bsKVaywCLcBGAsYHQ/s640/79232024-280e-4634-910c-07c082c19b95-768x512.jpg)
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na wazalishaji wa vitakasa mikono(Hand Sanitizer) wakati wa ufunguzi wa kikao cha kuweka mikakati ya kuongeza uzalishaji ili kupambana na janga la ugonjwa wa Corona kilichofanyika Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2e7751e7-a7f3-4533-9147-fa22293c0706-1024x683.jpg)
11 years ago
Habarileo24 May
Anaswa akibanika mikono ya mtoto
WAKATI jamii ya Watanzania ikipigwa butwaa na ukatili wa kutisha aliofanyiwa mtoto wa miaka minne kwa kufungiwa ndani ya boksi kwa miaka mitatu mjini Morogoro, ukatili mwingine wa kutisha dhidi ya watoto umeripotiwa mkoani Kagera. Katika mkoa huo, mganga wa kienyeji ametiwa mbaroni, akituhumiwa kumuua kwa kumnyonga, kumkata mikono na kumzika katika nyumba yake.
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Jamii yahimizwa kunawa mikono
JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Msanii asiyeona wa kazi za mikono
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Marufuku kupeana mikono Dar