Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNFPA yataka mtoto wa kike kushikilia ndoto

MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu UNFPA, Dk Natalia Kanem amewataka wasichana kushikilia ndoto zao pamoja na changamoto zinazojitokeza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

TCEMN yataka ulinzi kwa mtoto wa kike

WAKATI nchi ikiwa inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba, mwaka huu, ulinzi kwa mtoto wa kike umetakiwa kuwa ajenda ya wanasisasa katika kampeni zao. Hayo yalisemwa jana na...

 

11 years ago

Habarileo

Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe

FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.

 

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’

Ni Nassra Salum Khalid mkaazi wa Kilima hewa wilaya ya magharib Unguja ni mwanafunzi aliekatisha masomo yake ya darasa la saba siku chache kabla ya kukaribia kufanya mtihani wa Taifa kuingia kidato cha kwanza. Nassra ni […]

The post ‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’ appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Raha ya kusomesha mtoto wa kike

Mzazi na mkazi wa Ubungo, Juma Mkopi anatamani angejaaliwa kupata watoto wa kike pekee.

 

10 years ago

Vijimambo

Zari ajifungua mtoto wa kike

MTOTO WA ZARI
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.


Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...

 

10 years ago

GPL

MKWERE APATA MTOTO WA KIKE

Mtoto wa Komediani maarufu nchini, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ aliyepewa jina la Shamsa Hemedi Maliyaga. Chande abdallah MSANII wa komedi anayeuza sura kupitia Kipindi cha Mizengwe kinachorushwa katika Kituo cha Televisheni cha ITV, Hemedi Maliyaga ‘Mkwere’ amefunguka kuwa anajivunia kupata mtoto wa kike baada ya mkewe kujifungua hivi karibuni.
 Mke wa Mkwere na watoto wake, Shamsa na Kamira...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa kike asifiwa na polisi

Esme apewa tuzo ya kuwa shujaa

 

10 years ago

GPL

SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE

Waandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini `Sandra’ ambaye alijichimbia kwa kipindi kirefu baada ya kunasa ujauzito, amebahatika kujifungua mtoto wa kike katika Hospitali ya Santaz iliyopo maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Siku chache zilizopita. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I4XDCX

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani