UNFPA yataka mtoto wa kike kushikilia ndoto
MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu UNFPA, Dk Natalia Kanem amewataka wasichana kushikilia ndoto zao pamoja na changamoto zinazojitokeza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TCEMN yataka ulinzi kwa mtoto wa kike
WAKATI nchi ikiwa inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba, mwaka huu, ulinzi kwa mtoto wa kike umetakiwa kuwa ajenda ya wanasisasa katika kampeni zao. Hayo yalisemwa jana na...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe
FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Sep
‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’
Ni Nassra Salum Khalid mkaazi wa Kilima hewa wilaya ya magharib Unguja ni mwanafunzi aliekatisha masomo yake ya darasa la saba siku chache kabla ya kukaribia kufanya mtihani wa Taifa kuingia kidato cha kwanza. Nassra ni […]
The post ‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’ appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Raha ya kusomesha mtoto wa kike
10 years ago
Vijimambo06 Aug
Zari ajifungua mtoto wa kike
![MTOTO WA ZARI](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MTOTO-WA-ZARI.jpg)
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.
Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...
10 years ago
GPLMKWERE APATA MTOTO WA KIKE
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49bJSFJ4sRTAf8OGIJoAOZeQA1iw38wShuSVD-4zJ8wV8nnWYeuypM0NrbWr-i6f4ev4yI2RIV8gnSx7bKsDK4Ge/sandra.jpg?width=650)
SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE