Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe

FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

UNFPA yataka mtoto wa kike kushikilia ndoto

MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu UNFPA, Dk Natalia Kanem amewataka wasichana kushikilia ndoto zao pamoja na changamoto zinazojitokeza.

 

11 years ago

GPL

MPASUKO FAMILIA YA MANDELA

Stori: Mwandishi Wetu na mitandao HOFU kuu iliyopo sasa nchini Afrika Kusini kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza mweusi, Nelson Mandela ‘Mzee Madiba’ ni kupasuka kwa familia yake baada ya mazishi yatakayofanyika kesho kijijini Qunu, Eastern Cape Mkoa wa Mthatha. Baadhi ya wananchi nchini humo wameonesha wasiwasi wao kuhusu hatima ya mjane wa marehemu Mandela, Graca Machel kwamba, huenda akatengwa kutokana na...

 

11 years ago

Habarileo

Ugomvi familia ya Mandela wafufuka

Mjukuu mkubwa wa Mandela, Mandla Mandela.SIKU mbili baada ya maziko ya Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, ugomvi kati ya watoto na wajukuu wa shujaa huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, umeibuka upya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Familia ya Mandela:'Ni kipindi kigumu'

Familia ya Hayati Nelson Mandela imezungumza kwa mara ya kwanza tangu Mandela Kufariki Alhamisi na kuelezea kuwa katika kipindi kigumu

 

11 years ago

Mtanzania

Mzozo waibuka familia ya Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela

Mwandishi Wetu na Mashirika ya habari

MTALIKI wa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Winnie Mandela ameibuka na kutaka watoto wake wapewe nyumba yake iliyoko kijijini Qunu.

Hatua yake hiyo huenda ikazua mgogoro wa kwanza wa kisheria kuhusiana na mali za Nelson Mandela tangu alipoaga dunia mwaka jana.

Mawakili wa Winnie Madikizela-Mandela wamesema kudai nyumba hiyo ni haki yake ya kiutamaduni kwa vile aliwahi kuwa mke wa marehemu...

 

11 years ago

Mwananchi

Familia ya Nyerere yaenda Qunu kumzika Mandela

Familia ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itawakilishwa katika mazishi ya Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, ambaye atazikwa kesho katika Kijiji cha Qunu, Mthatha Jimbo la Eastern Cape.

 

11 years ago

Habarileo

Madaktari waliiambia familia asubuhi ‘Mandela anatutoka’

MADAKTARI waliokuwa wakimhudumia Rais mstaafu, Nelson Mandela siku ya mwisho wa maisha yake, walitoa tahadhari kwa familia kwamba alikuwa anaelekea kuiaga dunia.

 

9 years ago

Habarileo

Shein ataka timu za watoto ziendelezwe

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanamichezo nchini kujenga mapenzi baina yao ili kudumisha michezo kwa faida yao na taifa kwa ujumla. Dk Shein aliyaeleza hayo juzi alipokutana na wanamichezo mbalimbali katika hafla ya ugawaji wa vifaa vya michezo iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu mjini Unguja.

 

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani