Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shein ataka timu za watoto ziendelezwe

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanamichezo nchini kujenga mapenzi baina yao ili kudumisha michezo kwa faida yao na taifa kwa ujumla. Dk Shein aliyaeleza hayo juzi alipokutana na wanamichezo mbalimbali katika hafla ya ugawaji wa vifaa vya michezo iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu mjini Unguja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe

FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu

KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Shein ataka maendeleo Z’bar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, amewahimiza wananchi kujitolea katika kujiletea maendeleo huku akiwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuziunga mkono jitihada hizo kwa manufaa yao na Taifa.

 

10 years ago

Michuzi

DKT.SHEIN AKUTANA TIMU YA MAVETERANI BACELONA

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akipokabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezahji wa zamzni akiwa kocha Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni  iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na Rais.[Picha na Ikulu)

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Tizeba ataka timu za Wizara zishiriki Ligi Kuu

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo ziendeleze michezo kwa wafanyakazi wao makazini na kuhakikisha wanashiriki michuano  ya mashirika ya umma na taasisi zenye uwezo kama Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kushiriki Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara.
Dk. Tizeba amesema hayo mwishoni mwa wiki Jijini Mwanza wakati akiwapongeza wanamichezo wa timu ya Wizara ya Uchukuzi iliyoshiriki michuano ya michezo ya Mei Mosi na kuibuka washindi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein ataka matumizi ya huduma za jamii

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinWANANCHI wametakiwa kuzitumia vyema fursa za huduma za jamii zinazopatikana hivi sasa katika maeneo yao zikiwa ni matunda ya utekelezaji wa malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.

 

11 years ago

Habarileo

Rais Shein ataka majibu makini

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu wa mawaziri kujibu maswali wanayoulizwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na umakini mkubwa kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa Baraza kusimamia Serikali.

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Shein akutana na wachezaji wa zamani wa Timu ya Barcelona Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akipokabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezaji wa zamani, Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na Rais.[Picha na Ikulu)

 

10 years ago

Habarileo

Shein ataka makumbusho Zanzibar, Berlin kushirikiana

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka kuwepo ushirikiano kati ya makumbusho ya viumbehai ya mjini Berlin na Zanzibar ili kutoa fursa za kufanyika tafiti mbalimbali ya hazina ya viumbehai vilivyopo Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani