Shein ataka timu za watoto ziendelezwe
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanamichezo nchini kujenga mapenzi baina yao ili kudumisha michezo kwa faida yao na taifa kwa ujumla. Dk Shein aliyaeleza hayo juzi alipokutana na wanamichezo mbalimbali katika hafla ya ugawaji wa vifaa vya michezo iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu mjini Unguja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Dec
Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe
FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu
KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Dk Shein ataka maendeleo Z’bar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Dl4K1WAr1G8/VSeWEBTdSPI/AAAAAAAHQAI/Hiwf9hNbolQ/s72-c/IMG_0394.jpg)
DKT.SHEIN AKUTANA TIMU YA MAVETERANI BACELONA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Dl4K1WAr1G8/VSeWEBTdSPI/AAAAAAAHQAI/Hiwf9hNbolQ/s1600/IMG_0394.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OzsNtF9uoTA/VSeWDYnhrJI/AAAAAAAHQAE/e9sENP9IHFk/s1600/IMG_0396.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kbfL24OdDM8/VUaAPbDprgI/AAAAAAAHVBs/az5Mg2Vwsaw/s72-c/tizeba.jpg)
Waziri Tizeba ataka timu za Wizara zishiriki Ligi Kuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-kbfL24OdDM8/VUaAPbDprgI/AAAAAAAHVBs/az5Mg2Vwsaw/s1600/tizeba.jpg)
Dk. Tizeba amesema hayo mwishoni mwa wiki Jijini Mwanza wakati akiwapongeza wanamichezo wa timu ya Wizara ya Uchukuzi iliyoshiriki michuano ya michezo ya Mei Mosi na kuibuka washindi wa...
11 years ago
Habarileo05 Jan
Dk Shein ataka matumizi ya huduma za jamii
WANANCHI wametakiwa kuzitumia vyema fursa za huduma za jamii zinazopatikana hivi sasa katika maeneo yao zikiwa ni matunda ya utekelezaji wa malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
11 years ago
Habarileo05 Jun
Rais Shein ataka majibu makini
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu wa mawaziri kujibu maswali wanayoulizwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na umakini mkubwa kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa Baraza kusimamia Serikali.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7-fsf6ZuI5w/VSas2IzrGRI/AAAAAAABrT4/IqJsTTFMmKI/s72-c/IMG_0394.jpg)
Dk Shein akutana na wachezaji wa zamani wa Timu ya Barcelona Ikulu
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-fsf6ZuI5w/VSas2IzrGRI/AAAAAAABrT4/IqJsTTFMmKI/s640/IMG_0394.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fzlque07H2c/VSas140HhkI/AAAAAAABrT0/EEFCqoiG0xs/s640/IMG_0396.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Jun
Shein ataka makumbusho Zanzibar, Berlin kushirikiana
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka kuwepo ushirikiano kati ya makumbusho ya viumbehai ya mjini Berlin na Zanzibar ili kutoa fursa za kufanyika tafiti mbalimbali ya hazina ya viumbehai vilivyopo Zanzibar.