Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu
KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Sep
Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano
Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.
Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.
Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo31 May
Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi
MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.
11 years ago
Habarileo26 Apr
Mwanga washauriwa kujenga mshikamano
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuimarisha ustawi wa jamii katika jimbo hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
MWENYEKITI WA UVCCM ATINGA LONGIDO,AWAHIMIZA WANACHAMA KUWA NA UMOJA.MSHIKAMANO KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
KUTOKA ARUSHA
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James ameendelea na Ziara ya Kikazi katika Wilaya ya Longindo.
Pamoja na Mambo mengine Ndg Mwenyekiti amehimiza Umuhimu wa Kukijenga Chama kusimamia Serikali kuwatumikia Wananchi pamoja na Kuimarisha Umoja na mshikamano ndani ya Jumuiya Na Chama kipindi hiki muhimu tunachoelekea katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.
tukutaneKazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DeNp5ljc8po/XuovQ0ZfnrI/AAAAAAALuQ4/uM3AZlPjZtcSA4moSKVNnbF8SVdeC56igCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-DlaGPg3aE/XuovPvIYcZI/AAAAAAALuQ0/z1uqquD86FYpxrXCOnZIH-oNePK1aVr5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DY0Xz1lNoSE/XuovRfkBlJI/AAAAAAALuQ8/soaKLbVIF2UhkNZEgQaURal5rNKULnslwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vAU2HIE17T4/XuovRseJwDI/AAAAAAALuRA/7vN7rWV2uck0VEH4O7ZgaDN4PEIk2EyVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-niRMINpiiwc/XuovSmHf63I/AAAAAAALuRE/hrZVEJGlcdMa2rU1sdxwKIhnKkXDsywLQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHwBBBYP5aw/XuovTdQ5fkI/AAAAAAALuRI/Lx78tLZK0R81n-Rk0TYdlNtZgW4RYUPEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.37%2BPM.jpeg)
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kocha mpya wa Aston Villa Asema hana miujiza ahitaji mshikamano.
Siku moja baada ya klabu ya Aston Villa ya England kumtambulisha kocha mpya Remi Garde kuchukua nafasi ya kocha Tim Sherwood aliyetimuliwa wiki mbili zilizopita, kocha huyo amesema kuwa hana miujiza na anachohitaji ni uvumilivu na mshikamano ndani ya timu.
Kocha Garde raia wa Ufaransa amebainisha kuwa ana kabiliwa na changamoto kubwa zaidi ya kuweka mambo sawa na itachukua muda kwa timu hiyo kurudi katika mstari kutokana na matokeo mabaya yanayowazunguka ikiwa na pointi 4 tu katika...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO
Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.
Na Nathaniel Limu
VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.
Wito...
11 years ago
MichuziTimu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--87KuC9ns7g/VfPRhAq_AhI/AAAAAAAH4JQ/hn_wvHAGBaU/s72-c/polisi.jpg)
JESHI LA POLISI LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015
![](http://3.bp.blogspot.com/--87KuC9ns7g/VfPRhAq_AhI/AAAAAAAH4JQ/hn_wvHAGBaU/s200/polisi.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015 Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova amewakumbusha watanzania hususani wananchi wanaoishi jijini Dar es Salaam kukumbuka wajibu wao wa kudumisha amani wakati wote wa mchakato wa uchaguzi mkuu.
mchakato huo ni pamoja na wakati wa...