Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu

KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano

 Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.

Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.

 

Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO

Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi

MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanga washauriwa kujenga mshikamano

Mbunge wa Mwanga, Profesa Jumanne MaghembeWANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuimarisha ustawi wa jamii katika jimbo hilo.

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA UVCCM ATINGA LONGIDO,AWAHIMIZA WANACHAMA KUWA NA UMOJA.MSHIKAMANO KUJENGA CHAMA


KUTOKA ARUSHA

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James ameendelea na Ziara ya Kikazi katika Wilaya ya Longindo.

Pamoja na Mambo mengine Ndg Mwenyekiti  amehimiza Umuhimu wa Kukijenga Chama kusimamia Serikali kuwatumikia Wananchi pamoja na Kuimarisha Umoja na mshikamano ndani ya Jumuiya Na Chama kipindi hiki muhimu tunachoelekea katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.

tukutaneKazini





 

9 years ago

StarTV

  Kocha mpya wa Aston Villa  Asema hana miujiza ahitaji mshikamano.

 

Siku moja baada ya klabu ya Aston Villa ya England kumtambulisha kocha mpya Remi Garde kuchukua nafasi ya kocha Tim Sherwood aliyetimuliwa wiki mbili zilizopita, kocha huyo amesema kuwa hana miujiza na anachohitaji ni uvumilivu na mshikamano ndani ya timu.

Kocha Garde raia wa Ufaransa amebainisha kuwa ana kabiliwa na changamoto kubwa zaidi ya kuweka mambo sawa na itachukua muda  kwa timu hiyo kurudi katika mstari kutokana na matokeo mabaya yanayowazunguka ikiwa na pointi 4 tu katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO

DSC00527

Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.

Na Nathaniel Limu

VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.

Wito...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0

Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri Samir Said (kushoto) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa timu ya Polisi Abdalla Mwalim katika mchezop wa Ligi kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar.Jamhuri ilishinda 1-0. Winga wa timu ya Polisi Mohamed Mohamed (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Jamhuri Mohid Said katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman juzi. Jamhuri ilishinda 1-0. Mshambuliaji wa timu ya...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LAHIMIZA AMANI NA MSHIKAMANO KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU WA 25.10.2015        Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova amewakumbusha watanzania hususani wananchi wanaoishi jijini Dar es Salaam kukumbuka wajibu wao wa kudumisha amani wakati wote wa mchakato wa uchaguzi mkuu.
mchakato huo ni pamoja na wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani