Mwanga washauriwa kujenga mshikamano
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuimarisha ustawi wa jamii katika jimbo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania washauriwa kudumisha umoja, mshikamano
WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza upendo miongoni mwao bila ya kubaguana kwa misingi ya rangi, kabila na dini, ili kuendeleza jamii na nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati wa kuchangisha fedha kwa ajili...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu
KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.
9 years ago
StarTV07 Sep
Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano
Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.
Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.
Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
MWENYEKITI WA UVCCM ATINGA LONGIDO,AWAHIMIZA WANACHAMA KUWA NA UMOJA.MSHIKAMANO KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
KUTOKA ARUSHA
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James ameendelea na Ziara ya Kikazi katika Wilaya ya Longindo.
Pamoja na Mambo mengine Ndg Mwenyekiti amehimiza Umuhimu wa Kukijenga Chama kusimamia Serikali kuwatumikia Wananchi pamoja na Kuimarisha Umoja na mshikamano ndani ya Jumuiya Na Chama kipindi hiki muhimu tunachoelekea katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.
tukutaneKazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DeNp5ljc8po/XuovQ0ZfnrI/AAAAAAALuQ4/uM3AZlPjZtcSA4moSKVNnbF8SVdeC56igCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-DlaGPg3aE/XuovPvIYcZI/AAAAAAALuQ0/z1uqquD86FYpxrXCOnZIH-oNePK1aVr5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DY0Xz1lNoSE/XuovRfkBlJI/AAAAAAALuQ8/soaKLbVIF2UhkNZEgQaURal5rNKULnslwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vAU2HIE17T4/XuovRseJwDI/AAAAAAALuRA/7vN7rWV2uck0VEH4O7ZgaDN4PEIk2EyVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-niRMINpiiwc/XuovSmHf63I/AAAAAAALuRE/hrZVEJGlcdMa2rU1sdxwKIhnKkXDsywLQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHwBBBYP5aw/XuovTdQ5fkI/AAAAAAALuRI/Lx78tLZK0R81n-Rk0TYdlNtZgW4RYUPEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.37%2BPM.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s1600/unnamed+(23).jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatuâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-MB9MihQwLjI/Vl2NKC3bSSI/AAAAAAAAIQo/UIQpvrQ9D3k/s1600/A%2B1.jpg)
Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zmIzUSFjQ8o/Vl2NLHMx-1I/AAAAAAAAIQw/korGT97Wdwo/s640/A%2B2.png)
Na Mwandishi wetu,
Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.
Zaidi ya miaka 30 toka...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Mwinyi: Viongozi halmashauriendelezeni mshikamano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watendaji wa halmashauri nchini, kuendeleza mshikamano na ushirikiano katika dhamira moja ya kuwatumika wananchi ili waweze kupiga hatua katika maendeleo.