Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwinyi: Viongozi halmashauriendelezeni mshikamano

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watendaji wa halmashauri nchini, kuendeleza mshikamano na ushirikiano katika dhamira moja ya kuwatumika wananchi ili waweze kupiga hatua katika maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Alhaj Ali Hassan Mwinyi asema bado viongozi wanatumia madaraka yao kujinufaisha

IMG_0016

Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (katikati) akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Kamishna...

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa akisalimiana na Mzee Masoud Ali Chitende Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mtama mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Mtama ambapo alipata nafasi ya kuwasalimu wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata Mtama na Majengo, Mtama mkoani Lindi.Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mtama Mzee Said H. Maluma,kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Majengo Mzee Omari Mataka.Baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata ya...

 

11 years ago

Habarileo

WiLDAF yapongeza mshikamano wa wanawake

SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF), limepongeza ushiriki na mshikamano wa wanawake kuelekea kupata katiba mpya kwa namna walivyojitokeza kwa wingi na kutoa maoni yao.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanga washauriwa kujenga mshikamano

Mbunge wa Mwanga, Profesa Jumanne MaghembeWANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo yao wenyewe na kuimarisha ustawi wa jamii katika jimbo hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania watakiwa kudumisha Amani na Mshikamano

Frank Mvungi-Maelezo
Watanzania wametakiwa kuendeleza amani na mashikamano uliopo kwa maslahi ya Kizazi hiki na Kizazi Kijacho kwa kuenzi misingi ya Amani na Uzalendo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hili.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Amon Mpanju ambaye pia ni mwenyekiti wa wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Nchi ni zaidi ya itikadi na Mihemko ya watu wachache hivyo ni lazima tuwaepuke wote wanaotaka...

 

10 years ago

Habarileo

Makongoro Nyerere ahimiza umoja, mshikamano

MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Makongoro Nyerere, ametaka Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kufuata misingi ya upendo, kujitolea na mshikamano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kudumisha umoja, mshikamano

WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza upendo miongoni mwao bila ya kubaguana kwa misingi ya rangi, kabila na dini, ili kuendeleza jamii na nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati wa kuchangisha fedha kwa ajili...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Mshikamano ndiyo utawakomboa wafanyakazi

>Wafanyakazi kote duniani jana waliungana kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani. Hapa nchini maadhimisho hayo yalifanyika kitaifa jijini Dar es Salaam kwa maandamano ya wafanyakazi kuelekea Uwanja wa Uhuru ambako Rais Jakaya Kikwete alilihutubia Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani