Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Mshikamano ndiyo utawakomboa wafanyakazi

>Wafanyakazi kote duniani jana waliungana kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani. Hapa nchini maadhimisho hayo yalifanyika kitaifa jijini Dar es Salaam kwa maandamano ya wafanyakazi kuelekea Uwanja wa Uhuru ambako Rais Jakaya Kikwete alilihutubia Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa NBC wakutana kujengana uwezo na mshikamano

 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya NBC, Pius Tibazarwa (wa pili kulia) akishiriki michezo na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo katika warsha ya siku ya moja ya kujengeana uwezo na mshikamano mahali pa kazi iliyoandaliwa na kitengo cha masoko cha benki hiyo na kuwashirikisha wafanyakazi wa vitengo mbalimbali vya NBC. Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe akizungumza katika warsha hiyo. Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo. Baadhi ya wafanyakazi wa NBC walioshiriki warsha...

 

10 years ago

Michuzi

PPF YAFUTIRISHA WAFANYAKAZI WAKE KUONYESHA MSHIKAMANO

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (wapili kushoto0, akichukua futari wakati alipowaandalia futari wafanyakazi wake kwenye hoteli ya city garden jijini Dar es Salaam. PPF imekuwa na utaratibu kama huo wa kuwaandalia futari wadau wa Mfuko huo hali kadhalika wafanyakazi wake, kila mwaka ili kuonyesha mshikamano wa pamoja Baadhi ya Wafanyakazi wa PPF wakishirikia kwenye Futari ya pamoja.Mmoja wa wafanyakazi akityoa shukrani kwa niaba ya wwenzake baada ya futari hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

PPF yaandalia futari wafanyakazi wake, ni utaratibu wa kila mwaka kuonyesha mshikamano

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (wapili kushoto), akichukua futari wakati alipowaandalia futari wafanyakazi wake kwenye hoteli ya City Garden jijini Dar es Salaam. PPF imekuwa na utaratibu kama huo wa kuwaandalia futari wadau wa Mfuko huo hali kadhalika wafanyakazi wake, kila mwaka ili kuonyesha mshikamano wa pamoja Mmoja wa wafanyakazi akityoa shukrani kwa niaba ya wwenzake baada ya futari hiyo. Erio, akizungumza mwishoni mwa hafla hiyo.

 

5 years ago

CCM Blog

UNUNUZI MAZAO MCHANGANYIKO KUPITIA AMCOS UTAWAKOMBOA WAKULIMA: DC BARIADI

 Mkuu wa Wilaya ya Bariadi. Mhe. Festo Kiswaga akifungua kikao cha wadau wa mazao mchanganyiko kilichofanyika jana Mjini Bariadi kwa lengo la kujadili namna ya kutekeleza maelekezo ya Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe kuhusu mfumo wa ununuzi wa choroko, dengu, mbaazi na soya  kupitia vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) kwa mikoa inayolima mazao hayo kuanzia mwaka huu 2020.
  Baadhi ya wadau wa mazao mchanganyiko mkoani Simiyu, wakifuatilia kikao cha wadau hao kilichofanyika jana...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye kwake ndiyo ni ndiyo

Wakazi wa Hanang’ wana maneno tofauti ya kumsifu na kumshukuru Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambaye alikuwa mbunge wa Hanang kwa miaka 20 mfululizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar

DSC_0566

Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0576

Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0577

Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani